Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Beshte nmekumis kichiziJmn Uzi umesema unaovutiwa 🤣
Ila ingekuwa vinginevyo ningemtaja mmoja🏃🏃🏃🏃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Beshte nmekumis kichiziJmn Uzi umesema unaovutiwa 🤣
Ila ingekuwa vinginevyo ningemtaja mmoja🏃🏃🏃🏃
Hahahahaha..tushafika kwa mhindiEeeh na hiii hali ya hewa wapo ndani ya miblanket.
Sisi walalahoi ngoja tukabebe mizigo Kwanza😁
😁😁😁😁😁Mim nipo zangu hapa naambiwa Leo nimechelewa mshahara katika😂😂😂😂😂😂😂Hahahahaha..tushafika kwa mhindi
Hahahahaha....mshahara haki yako ..ila ndio unatoka leo ?😁😁😁😁😁Mim nipo zangu hapa naambiwa Leo nimechelewa mshahara katika😂😂😂😂😂😂😂
mzabzabBila kupoteza muda ladies leo zamu yenu, hebu mtaje member wa kiume unayevutiwa naye… unaona kabisa huyu yupo kumtima. Na liwalo na liwe namtaja.
Wanaume tulieni muone mnavyopendwa na ukitajwa make sure una-show love ❤️ unaweza kumpata mke wa maisha yako.
Wa kwangu mtamkuta kwenye comment, haya ladies on the stage show love kwa kidume kinachoumiza feelings zako
Ety boss anasema nisipobeba mifurushi ya kutosha leo, atanilipa aftatu bila nauli.Hahahahaha....mshahara haki yako ..ila ndio unatoka leo ?
Sawasawa 🥴Sio kujizeesha Mjukuu, umri wangu ni kweli umeenda now 😜
Imagine kama tulicheza ile michezo ya Kibaba Baba Mwaka 1947 si ni kweli tumezeeka 🤗
Good morning 🥂
Hahahahaha aftatu duh...huyo boss mbn mnoko hivyo ,boss kichefu chefuEty boss anasema nisipobeba mifurushi ya kutosha leo, atanilipa aftatu bila nauli.
Lovelovie usinifanyie bhanaa 😉😗Ngoja nikuchagulie Equation x raraa reree njooni basi kuna mtoto mrembo hapa.
Boss ana nongwa huyu hadi kizunguzunguHahahahaha aftatu duh...huyo boss mbn mnoko hivyo ,boss kichefu chefu
Hahahahaha aache hizo mamboBoss ana nongwa huyu hadi kizunguzungu
Umeamua kunifaulisha sio 😭😭😭😭Kwa hiyo hutaki mchumba tena
Kashapoteza mfanyakazi boraHahahahaha aache hizo mambo
Haya furaha hadi machoziUmeamua kunifaulisha sio 😭😭😭😭
Hahahahaha. Na Mei Mosi inakujaKashapoteza mfanyakazi bora