Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣We nae Kwa Nini imeijuaje hiiUmekuja kuwaje lakini jamani🤣🤣🤣🤣
Ataanza kujitekenya😛😛😁😁Na hizi mvua jamani
Mbona panaweza kuchimbika na kijiti 🤣🤣🤣
Duh nini wewe mie nakutamanii navutiwaa 🥰🥰🥰
Lini sasaa mi nataka hata leo mme wanguWewe tuuuuh
Aloo itabidi niivalie njuga😃
Hahahahaha🤣🤣🤣Naona wanajizima data wanaparamie majimbo ya watu
Utanikuta kijiweni mamdogo auntMimi na wewe Tena ubuyu unao relax😁
Huyu mashangazi hayamuhongi tungeshaona miashuo yake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Halafu mashangazi yanahonga wakati mdogo wangu inabidi akuhonge wewe
nilisahau 😂😂😂 wewe na cocastic jumla tuko wanawake wanne tu humu 🥰🥰🥰😂😂😂😂😂😂😂 mimi
Piga kelele kwa wizo akee weuweee 😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizooo una nn wee?
Kuwa na shangazi lisilohonga ni kuchosha mwili,imagine una danga zee halafu halikuhongiHuyu mashangazi hayamuhongi tungeshaona miashuo yake 🤣🤣🤣
Wanajua mwenye mali nipo ole wao wamtaje ntararua papuchi ya mtu miee alaaah 🥰🥰🥰Mbona ww extro hajatajwa wizo 🤣🤣🤣🤣
Wamtaje beibyy wangu hawajitaki?? Hawaogopi?? Uzi utafungwa huu hilo mbungi nitakalolianzisha 🤣🤣🤣😂🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Muheshimiwa kama muheshimiwa nipo tayari muda wowote just one call nipo macho muda wote...niiite nitaitikaaandio,
hii kazi inahitaji walio tayari wakati wowote, kuwa ofisini au field at any given time. so, I appreciate your redness and for sure, ur commitment in saving mwanainchi, along side kiongozi mchapakazi sana wa wanaichi, hapa mjengoni na kule jimboni chini kabisaa kwa wanaichi 🐒
for that one,
as a visionary and able leader, I must congratulate you Missy Gf, a beautiful lady with brain, by joining me to this activity of transforming standards and lives of mwanainchi to the tremendous prosperity in both economic, social and political spheres 🌹
Matumizi mabaya ya mwili...hii hairuhusiwi this is 2024Kuwa na shangazi lisilohonga ni kuchosha mwili,imagine una danga zee halafu halikuhongi
Ila Bichwa huwa unanifurahisha sana mim popote nikiona comment yako huwa nacheka
Angalizo kabambe 😂😂GENTAMYCINE yuko UG mkuu😂
Akimaliza kuandika thread ana angalizo lake moja hilo ni hatari.
Asante madam 😂😂 mkicheka na mie nacheka tu siku zinasonga 😂😂😂 mie ndo najichekaga adi bas 😂😂😂Ila Bichwa huwa unanifurahisha sana mim popote nikiona comment yako huwa nacheka
😂😂😂 nawashangaa na hawataamini eti mengi midume humu shauri yao na marinda yaoAsante madam 😂😂 mkicheka na mie nacheka tu siku zinasonga 😂😂😂 mie ndo najichekaga adi bas 😂😂😂
Aya kumekucha achia kitanda ukasake utajiri😂😂😂😂😂Hujui tu uanamke ulivo wiiiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂
Em ngoja nikalale mie
MarufukuMatumizi mabaya ya mwili...hii hairuhusiwi this is 2024