ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Anajitapa tu hapa kumbe yupo na wachuga wala miraa, hajui miraa mwisho wake ni kuiboost kwa jeki!🤣🤣🤣Heeee 🤣🤣🤣 jamaniii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajitapa tu hapa kumbe yupo na wachuga wala miraa, hajui miraa mwisho wake ni kuiboost kwa jeki!🤣🤣🤣Heeee 🤣🤣🤣 jamaniii
Mpare hata azaliwe songea tabia zake ni zilezile...Mm n mpare wa mjini
Mimi nimetaja wawili nilitaka nikutaje wewe nikaambiwa kam nataka kutoka sura zombie nikutaje eti kuna mtu ……….Hahahahahaha..hapana..kwani wewe umetaja mtu ?
Tulia 😅😅Kudadeqqq hufai hata kidogo matusi matupu tu..!
Wali nyama mama!😂😂😂😂 Weeeeh kula nini tena 🙆🙆🙆
Shida ya mashangazi ukiliweka vilivyo dk5 tu hoi🤣🤣(pardon my tongue)
🤣🤣🤣🤣 Jidanganye uliza show za wala ndumu wakawambie hapa.!!Chuga wote walevi tu kule,alafu hawali vizuri. Hizo nguvu anatoa wapi? 😅
Na unamtaka awe mchepuNaogopa kutaja jimbo la watu 😁😁
Uzoefu first grade mkuu. Siku ukiliotea shangazi ambalo ni kungwi, hiyo day unaweza hata kwako usirudi 😅😅Hahahahaha wana uzoefu wa kutosha
Woooi!! Kale makande bwana usinichoshe😂Wali nyama mama!
Ninajijua huna haja ya kunitajaKuna mmoja huyo ☺️
Hasa upate lile overweight kidogo, yaani jf wangeruhusu ningeweka picha kabisa...linaride lenyewe ila likimaliza huo usingizi wake sasa🤣Analyse anakwambia unatakiwa gwaride zima uliachie jishangazi liongoze...
Hahahahaha...mimi niko km mtazamaji tu humu ..hkn wa tajwa wala kutaja ..hongera kwa hao wawili....Mimi nimetaja wawili nilitaka nikutaje wewe nikaambiwa kam nataka kutoka sura zombie nikutaje eti kuna mtu ……….
Ndio awe mchepuko yaaani tuishie humu humu ki JF😀Na unamtaka awe mchepu
Ngoja tunyatieNdio awe mchepuko yaaani tuishie humu humu ki JF😀
Hahahahaha...shangazi kungwiUzoefu first grade mkuu. Siku ukiliotea shangazi ambalo ni kungwi, hiyo day unaweza hata kwako usirudi 😅😅
Nakutupia jini tu. Kila ukipita sehemu yenye umati, uwe unakata mauno😅Kurudi hao sahau 🤣🤣🤣🤣🤣
Ewaaaa😁😁Ninajijua huna haja ya kunitaja