Hahahah we ni wa kuogopwa kumbeMwanaume atakayekula hela yangu ni ambae amekua akinisaidia kifedha kisha itokee mambo yake yaende vibaya.
Sio umetoka huko na sharubu zako ulete swaga za mim kukulea.
Kusaidiana imo ila kiasili mwanaume ndo anatakiwa awe muhudumiaji.
Hata mwanamke uwe tajiri vipi ila mwanaume wako akikupa hata buku kuna karaha fulani wanawake tunapata.
Hivi mwanaume anaweza kweli kusimama kiume akamfokea mwanamke anayemlea?
Bora kulea yatima kuliko kulea dume lenye nguvu kuliko mimi.
Mwanamke anataka hio 50/50 kwenye fursa ya yeye kupata kitu. Ila sio uzungumzie 50/50 kwenye mazingira ya yeye kutoa hela.Wabinafsi sana alafu wanataka 50/50, Sasa nusu kwa nusu inatokea wapi kama upande mmoja hautaki kuwajibika?
Unawapenda eti?Mtoe sepetu, whozu anajiweza
Kama huna hela ya kumwaga lazma utaona wanawake wenzio kama wendawazimu. Huyo anaetuma pound 1000 kila week jua ana ziada ya kumtosha mno kwa account.
Ni ngumu kuliko unavyoona mkuu, ukiona mambo kwa upande wako yako poa mshukuru Mungu..Mtu anaomba elfu 10 eti hajala,kweli Bongo imekuwa ngumu namna hii?
Sometimes mambo yanagoma mkuu, usihukumu.Hao wanaume WA sinza na kinondoni.
Kujiendekeza.
But kuna wanawake na mioyo Yao. Wanawahudumia
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora yako umesema ukweli mtupu, muda mwingine tunatingwa balaa unakaza wee kwenye maisha lakini mambo hayaendi..Kuna Ile mwanaume anapambana ila mambo hayakai sawa....na unakuta tayari mnaishi pamoja au kitu kama hicho....
Ila Kuna wale kazi Yao kuvaa kobas za mpira na soksi nyeupe aaaaa maisha nikimuona naita polisi
Haujakunwa vizuri wewe hizo toys haziwezi kuwa kama kitu halisi umeshawahi kuchezea dudu mpaka koo linakauka unaomba maji ua unazima kabisa ukitoka hapo unamwangalia mjomba aliyekushughulikia unabaki na aibu za kike zileHata niwe na hela kiasi gani siwezi kumwaga hela kwa mwanaume wakati sex toys zipo
Ndio mkuuHahahah we ni wa kuogopwa kumbe
Alamsikiπ€£Ndio mkuu
Whozu mwanangu sana alafu classmate tunajuana japo sijui alikula maharage ya wapi akadondokea kwa yule BibiUnawapenda eti?
Mdogo wangu si uliaga π πMwanaume atakayekula hela yangu ni ambae amekua akinisaidia kifedha kisha itokee mambo yake yaende vibaya.
Sio umetoka huko na sharubu zako ulete swaga za mim kukulea.
Kusaidiana imo ila kiasili mwanaume ndo anatakiwa awe muhudumiaji.
Hata mwanamke uwe tajiri vipi ila mwanaume wako akikupa hata buku kuna karaha fulani wanawake tunapata.
Hivi mwanaume anaweza kweli kusimama kiume akamfokea mwanamke anayemlea?
Bora kulea yatima kuliko kulea dume lenye nguvu kuliko mimi.
Mapenzi ni upofu.Whozu mwanangu sana alafu classmate tunajuana japo sijui alikula maharage ya wapi akadondokea kwa yule Bibi
[emoji1787] Hiyo ni roho mbaya. Mwenzenu kapenda ebu muacheni.Nipofue namimi basi [emoji6]
Wataachana tu
Umefurahi kuona bado niko au umekereka kaka ?πMdogo wangu si uliaga π π
I'm always happy for you, for everyone mdogo wangu π€Umefurahi kuona bado niko au umekereka kaka ?π