Ladies Talk: Kufuatia kisa cha Mbuta Nanga

Aunt akifanyiwa hivyo anajiona yupo Ibiza,akiombwa paundi 500 ,anatoa paundi 1000.
We tena umemweka mbuzi kagoma tunaanziaga mbususu uku unapanda juu utasikia wewe unafanya Nini unamjibu kwani haupendi ukiendelea anaanza kunena Kwa lugha ka yupo Kwa mwamposa basi mkishamaliza show utaona muamala huo baby utanunua vocha [emoji28][emoji28]
 
Yaani nilibaki mdomo wazi,kwa mwezi unamtumia mwanaume Paundi 5000 +?Huyu msukuma itakuwa alikuwa anajituma sana,alikuwa anapiga sana deki kwa bibi.View attachment 2648386
Aisee mapenzi yana nguvu 😅,mimi nina aunt yangu yupo huko hana majukumu makubwa alisoma akapata kazi ni nurse watoto wa kaka ake walimuomba paundi 80 waende funcity aligoma aisee na hapo hajawahi hata siku moja kuwa tumia ata zawadi maana huwa haji kutembelea nyumbani kwao .sasa siku moja enzi zile za team wema nikamkuta huko anamsifia wema na michango anatuma .
 
👌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…