Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We tena umemweka mbuzi kagoma tunaanziaga mbususu uku unapanda juu utasikia wewe unafanya Nini unamjibu kwani haupendi ukiendelea anaanza kunena Kwa lugha ka yupo Kwa mwamposa basi mkishamaliza show utaona muamala huo baby utanunua vocha [emoji28][emoji28]Aunt akifanyiwa hivyo anajiona yupo Ibiza,akiombwa paundi 500 ,anatoa paundi 1000.
Aisee mapenzi yana nguvu 😅,mimi nina aunt yangu yupo huko hana majukumu makubwa alisoma akapata kazi ni nurse watoto wa kaka ake walimuomba paundi 80 waende funcity aligoma aisee na hapo hajawahi hata siku moja kuwa tumia ata zawadi maana huwa haji kutembelea nyumbani kwao .sasa siku moja enzi zile za team wema nikamkuta huko anamsifia wema na michango anatuma .Yaani nilibaki mdomo wazi,kwa mwezi unamtumia mwanaume Paundi 5000 +?Huyu msukuma itakuwa alikuwa anajituma sana,alikuwa anapiga sana deki kwa bibi.View attachment 2648386
Kwa hiyo unataka kutumia hela za wanaume tu si ndio?Yaani mimi kutumia tu hela yangu kwa matumizi yangu naona naumia.
Kwa hiyo mnawananga wanawake wenzenu kwa kulea wanaume wanaojua kwuwatomber vizuri 🤣🤣🤣🤣🤣Mimi kwanza mwanaume akiniomba hela tu,baasi .Yaani ninamuona kama mavi.Hao wanawake wanaohonga ni Nye ge tu zinawasumbua,basi na vile vijana wanajituma kwenye 6 ×6 ,baasi wanawake wanadata kabisa.
kula chuma hicho🤔🤔🤔🤔
Wanawake wa namna hiyo ni kutomber na kusepa. Too selfishKwa hiyo unataka kutumia hela za wanaume tu si ndio?
Hapana ,some times akiwa na shida au nikiwa nimekwama kusaidiana ni sawa,ila sio tarehe 1 ninakupa paundi 1000,tarehe 5 the same, mind you that wewe haujawahi nipa hata mia.Kwa hiyo mnawananga wanawake wenzenu kwa kulea wanaume wanaojua kwuwatomber vizuri 🤣🤣🤣🤣🤣
Hapo umenena hawa wabinafsi sana ni kuwapiga tu hit and runWanawake wa namna hiyo ni kutomber na kusepa. Too selfish
Ukipata mwanamume wa hivyo tarehe 1 kakupea paundi 1000 tarehe 5 the same utamwambia aache kukupea mapaundi mara kwa mara?Hapana ,some times akiwa na shida au nikiwa nimekwama kusaidiana ni sawa,ila sio tarehe 1 ninakupa paundi 1000,tarehe 5 the same, mind you that wewe haujawahi nipa hata mia.
Nitapokea.Kama ananipa bila kumuomba.Ukipata mwanamume wa hivyo tarehe 1 kakupea paundi 1000 tarehe 5 the same utamwambia aache kukupea mapaundi mara kwa mara?
Sasa kwa nini mnamlaumu Mbuta Nanga?Nitapokea.Kama ananipa bila kumuomba.
Yeye mwenyewe kalalamika.Sasa kwa nini mnamlaumu Mbuta Nanga?
👌Yaani mimi kutumia tu hela yangu kwa matumizi yangu naona naumia.
Je, Kwa kumtafutia viza, kumsafirisha mpaka London mtoto wa mama mkwe, kufunga nae harusi, kumlea na kumsomeshea mwanae uliyemkuta nae kwa pesa yako..... eeeh watu kuweza.
Sometimes naona hata sio suala la uzuri au age imeenda yaani Kuna kitu naona kama kimekua trend huu moyo wanawake wenzetu wanautoa wapi? Umchukue tu kijana umleee? In exchange of what?
Watu wanamsema mbuta nanga oooh age imeenda hana uzuri embu niambieni tu hii list ya macelebs;
1. Zari
2. Shishi
3.Aunt Ezekiel
4. Rihama Ally (Sina uhakika na jina
5. Sepetu
6. Uwoya na mtoto wa Jack Pemba, Dogo janja
7. Wolper
Hawa ni wazuri na bado umri uko vizuri wanapata nini Kwa hawa Mariooo
na huu moyo wa kipekee wa kulea hawa viumbe wanautoa wapi?
Kwa nini analalamika?Yeye mwenyewe kalalamika.
Alimuoa mwanaume, lakini kaishia kukimbia na kwenda kwa mwanaume mwenzake. Yaani alikuwa anamhudumia kila kitu.Kwa nini analalamika?