Ladies, tofauti na kuulizwa umri ni maswali gani mengine hampendi kuulizwa?

Ladies, tofauti na kuulizwa umri ni maswali gani mengine hampendi kuulizwa?

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
abb26318b4ef6297cd4c55bedf4552e8.jpg
 
Vipo sana… ni nadra kukosekana.
Mtu anaweza kukuuliza kitu, we mwenyewe ukabaki unamshangaa, au ukaona ni too personal.
Haha

Some quiz can be harsh..

Muda mwingine unakuta mshikaji yuko nervous.

Mwingine hana jipya so anaanza kuokota vimaswali ambavyo hata yeye anajishtukia hahah

Mwingine he is just harsh

Mwingine is not charming.

Mwingine ni mshamba.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Mnakuwga na uwongo wa kibwege!, kama una mtoto sema, kama una bwana sema, kama uliolewa na sasa mmetengana sema....maana huko mbeleni huu uwongo utakuja kuleta ufa wakati mahusiano yamefikia hatua kubwa...
 
Back
Top Bottom