Ladies tubadilike: Style mbalimbali za upakaji wa rangi za kucha

Ladies tubadilike: Style mbalimbali za upakaji wa rangi za kucha

Points well noted. Siku ingine utupe somo LA namna ya kupaka maama Hawa wapaka kucha wammtaani wanapata credits sana kutoka kwa dada zetu
Ndo naandaa somo...najua litawafaa sana vijana
 
Rangi nzuri kwelikweli,ila ndio siwezi jamani kupaka hayo makitu.
Ni mwendo wa hina tu...
Niliwahi paka juzikati,nilipendezaje?
Ila nilivumilia sana...nilizitoa baada ya siku 3!
[emoji85][emoji85][emoji85]
 
Rangi nzuri kwelikweli,ila ndio siwezi jamani kupaka hayo makitu.
Ni mwendo wa hina tu...
Niliwahi paka juzikati,nilipendezaje?
Ila nilivumilia sana...nilizitoa baada ya siku 3!
[emoji85][emoji85][emoji85]
Taratibu tu utaweza. Nini kinakufanya huwez kuvumilia rangi?
 
Heheh!, umenikumbusha wakati najifunza kupaka lipstick ilikuwa hai last too long, nilikuwa naishia kuilamba yote. 🙂
Lol my story,so nifanyeje ili idumu?na sipendagi ile layer inayotengeneza kwny lipstick inapoishia,afu inategemea na aina au,I happen to buy one sio km lipgloss lakini sio dry ya kukaa the whole day
 
  • Thanks
Reactions: kui
Mazoea tu dear,na dini wengine sisi haziruhusu ndio kabisaaaa
Unatumia henna?ni aina gani haiharibu kucha,nkipaka henna tu kucha zitatoka layers hadi sifurahii kwa kweli
 
Unatumia henna?ni aina gani haiharibu kucha,nkipaka henna tu kucha zitatoka layers hadi sifurahii kwa kweli
Mimi yoyote tu, ile ya asili naonaga uvivu kusubiri ikowe.
Napaka za cone
 
Its never too late kuzifuga....ila nafurahi tunakuwa wengi. Hope huzing'ati hadi damu kutoka
Smtym natamani kuzikuza kidogo ila ni laini mno zinakatika zenyewe,I constantly keep them short mana za kubandika ni mzigo
 
Wanawake kazi mnayo.

Nyie ni maua ya dunia, jipambeni mzidi kupendeza.
 
Smtym natamani kuzikuza kidogo ila ni laini mno zinakatika zenyewe,I constantly keep them short mana za kubandika ni mzigo
Mimi napenda kubandika ila bwana kazi kama kutandika kitanda, kufua zinakuwa mtihani
 
kucha2.jpg
kucha3.jpg
 
Lol my story,so nifanyeje ili idumu?na sipendagi ile layer inayotengeneza kwny lipstick inapoishia,afu inategemea na aina au,I happen to buy one sio km lipgloss lakini sio dry ya kukaa the whole day


Aise kama mimi, I hate the layer!
Dry ones naona better haziachi residues, and all you have to do is apply lip gloss.

Lakini MAC mwisho wa maneno, it's the best.
 
Back
Top Bottom