Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Kuna vitu mnafanya tofauti hadi vinakua uchafu.It depends na sana ya kiasi gani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vitu mnafanya tofauti hadi vinakua uchafu.It depends na sana ya kiasi gani.
Urembo ni natural, kama unaamini sio mrembo ndio utaenda kujipodoa, lakini wale wanajielewa kuwa ni warembo in nature hawana muda wa kujipodoa utadhani rangi za mabasi ya simiyu.Hapana...anayejiremba anajielewa na anaemphasize her beauty...
Urembo haufanyi kibaya kuwa kizuri...bali unaemphasize ur strengths