Ladies tubadilike: Style mbalimbali za upakaji wa rangi za kucha

Ladies tubadilike: Style mbalimbali za upakaji wa rangi za kucha

Mhhh labda saloon za masaki mikocheni nk..mwenge mhhh
Ila vijana wa mwenge Mashaallah..wana uelewa sana..yani vichwa vyepesi...na vile wanapenda kujifunza ili kufurahisha wateja atakusikiliza tu ukimuelekeza. Tatizo lao ni quality ya rangi
 
Season's nail polish. Tangerine, Blues, electric blue, Berries, Nudes, Shades.


AAhnV3e.jpg
AAhoe6H.jpg
AAhobA9.jpg
AAhnV3h.jpg
AAhnXks.jpg
AAhnV3o.jpg
AAhoe6X.jpg
 
Nje ya mada.
Sorry warembo, nitapata wapi cosmetics za IMAN kati ya Dar na Arusha.


20160629_151229.jpg
 
Msichana mrembo ni yule ambaye haweki vipodozi wala nini, kipodozi kikubwa kwake ni lotion au mafuta yoyote yasiyo na rangi.

Nadiriki kusema wasichana mnajichafua wengine utadhani wamepaka matope
 
Msichana mrembo ni yule ambaye haweki vipodozi wala nini, kipodozi kikubwa kwake ni lotion au mafuta yoyote yasiyo na rangi.

Nadiriki kusema wasichana mnajichafua wengine utadhani wamepaka matope


Hao wa marangi mpaka ionekane sana wanazidisha. Make-up ni ujuzi, jinsi unavyoweka nyingine huwa hazionekani sana.
Make ups supposed to enhance the natural beauty.
 
Hao wa marangi mpaka ionekane sana wanazidisha. Make-up ni ujuzi, jinsin unavyoweka nyingine huwa hazionekani sana.
Make ups enhance the natural beauty.
Ni upuuzi, wanaacha kuoga wanapaka hizo takataka hadi zinakera,
 
  • Thanks
Reactions: kui
Mh!, utazionaje lakini kama zina rangi?
Napenda sana msichana natural, amekata kucha zake vizuri za mikononi na miguuni, mdomo wake upo natural, nywele zake natural au amesuka,

Lakini msichana utadhani ni wale mashetani kwenye filamu za kinigeria .[emoji28] [emoji28] [emoji28]

Msichana kuwa simple sio unajiremba hadi.mumeo anaogopa hata kukutambulisha au kuku hug.

Kui badilika bana, uwe simple kama zamani ulipo kua unasoma shule
 
Napenda sana msichana natural, amekata kucha zake vizuri za mikononi na miguuni, mdomo wake upo natural, nywele zake natural au amesuka,

Lakini msichana utadhani ni wale mashetani kwenye filamu za kinigeria .[emoji28] [emoji28] [emoji28]

Msichana kuwa simple sio unajiremba hadi.mumeo anaogopa hata kukutambulisha au kuku hug.

Kui badilika bana, uwe simple kama zamani ulipo kua unasoma shule


Kama wa kwenye Cinema za Ki Nigeria...lol!

Umenichekesha lakini, eti kama zamani. Mkuu mi niko simple sana mfano ni hii black and white, sipendi makolombwezo mengi. 🙂
 
Hapo hata tukikutana nitakupa hug, [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
  • Thanks
Reactions: kui
Back
Top Bottom