Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,321
- 10,075
hahahahaaa anayeuza dhahabu feki kalipwa dola feki!Unataka mwanamume mkweli wa nini???
Kama ungekuwa na duka, ungeweka mtambo wa kujua kama wateja wako wote wanaongea ukweli??? So what??
Cha msingi ni kuhakikisha huuzi bidhaa zako halali kwa noti feki....ila kama ni feki kwa feki kuna tatizo gani hapo??
Please soma post #229 hapo juu!!
Babu DC!!