Ladies Usikubali kumkaribisha maishani mwako, No matter how life is damn miserable to you. Wewe ni wathamani

Ladies Usikubali kumkaribisha maishani mwako, No matter how life is damn miserable to you. Wewe ni wathamani

Asante kwa ujumbe mzuri na pole pia kwa kupata mawazo negative kutoka kwa wa changiaji.

Mada ni nzuri sana lakini palipoleta shaka kidogo ni kipengele cha kutoa penzi kwa ajili ya kupata kazi.

Uzinzi ni Uzinzi tuu haijalishi umefanya ili upate kazi, au ili upate hela na sababu nyinginezo. Huyo "roho mtakatifu/wa Bwana" sidhani kama anachambua huu uzinzi ni wa amempa HR au amempa nani , yeye anahesabia umezini. Na madhara ya zinaa ni yale yale hata kama unazini na boyfriend
wako ambaye hamjaoana.( kwa wale wanaoamini maandiko).

Kwa mtazamo wangu huu uzi bila huo mfano wa HR na badala yake ukemee zinaa kwa ujumla bila kuangalia mtu kazini kwa lengo gani..ni uzi mzuri sana na Asante kwa ujumbe.
Ahsante kwa kushukuru.. won't write again any articles related to peoples..
 
Eti umesema!!!
Weeeeh! Hebu soma tena ulichoandika then jiambie "hiiiiiiiiiiiiiii"

Chezea msoto wewe!!
 
Kusema kweli hakuna watu wanaofanya mapenzi bila kuwepo na design flani ya kutaka "favour" flani. Hata walioko ndoani.

Wengi wanategemea kile kitendo kama investment fulani hivyo in the end wanategema ROI. Au kama walishapata favours basi inakua ni kama ku pay back favours.

Trust me.
Dah....na wasichokijua kuna watu wasingekuwepo walipo sasa Kama wasingevua pichu zao ... [emoji2960]

Sent using Beretta ARX 160
 
Da Vinci umeandika ukweli mchungu.

Kwa wale gold digger au wale walioanza kudate na waume za watu toka wakiwa first year chuo ni ngumu sana kukuelewa.

Anyway, kwa sababu dunia imevaa boxer nowadays na bado na inakatiza mtaani na kujiona iko salama...basi wale wakazi wa hii dunia watakuona wewe ni porojo tu.

Ktk shamba la Bwana ushapalilia miraba kadhaa kwa bandiko hili.
Ameen mkuu..
Let me embrace the Consequences of my doings 😢😢😢😢
 
We are what we repeatedly do. Uko sawa kabisa, mtu unafanya ngono tangu una miaka 14, karibu kila mkoa uliopita kuna mtu amekuvua sasa kwa HR siku moja tu kuna ugumu gani? Kwani yeye atafanya nini cha ajabu kitakachomfanya huyu dada ajione hana thamani kabisa?

Sent using Jamii Forums mobile app

Ulipokuwa na miaka 14 ulikuwa unafanya ngono kwa sababu unaitikia vichocheo( hisia zako zinakutuma), na kwangu mimi hiyo shida. That's the way we are wired;unampenda au kumtamani mtu, then unamake efforts kumpata.

Lakini wewe kutoa ngono kwa sababu ya kuhaidiwa kazi, thats completely different. Ndio maana hata sheria za nchi zinasema hilo ni kosa. Ila ukitoa kwa hiyari yako mbona ni poa kabisa, hata kama umetoa kwa watu 20, nobody will arrest you for that.
 
Eti ukiahidiwa ndoa ukatoa hakuna shida, ila ukiahidiwa kazi ukatoa hilo ni tatizo!!! Hivi kwanini tunapenda kuchagua dhambi, kwamba zinazotufavour ni dhambi ila kinyume chake sio!!![emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Kwenye ndoa tu sometimes mnapewa sababu ya kutaka favour fulani sembuse uahidiwe maisha!!
Hebu tuwe serious kidogo.
 
Ahsante kwa kushukuru.. won't write again any articles related to peoples..
Wewe ni mwoga sana. Unakata tamaa kirahisi sana.

Yaani kuna mtu kama Zurri angefungua uzi kama huu, angekomaa nao hadi watu wamwachie uzi waondoke.

Kusema hautaandika kuhusu watu tena unamaanisha pengine upo sahihi ila watu wanaamua kukukomoa kwa kupinga.

Sasa kama ni hivo komaa mpaka mwisho, usikate tamaa kirahisi hivi ni udhaifu.
 
Kuliko kiwabia wawe wavumilivu na maswala ya Umungu Mungu sijui mi naona ni heri ungekuja na solution ya moja kwa moja!,tiba ni kutibu tatizo ni ama litengwe fungu la kuwasaidia au wao wenyewe kusaidiana hii italeta heshima sana.. kuwaambia kuvumilia shida huo ni mkwara tena mkwara mbuzi!!
Mkuu maisha ya kuandika kuwa maisha ni magumu sio yale halisi kabisa!!
Maisha yanamtwanga mtu kiasi anaona uchi wake si thamani!! Hata hivyo kuna wengine uchi huo umewasaidia wanamaisha mazuri!!
Sitetei ati wafanye ila najaribu kukuonyesha kuwa ktk maisha hakuna kitu kinaitwa kukariri!!
Njaa ni njaa tu kama Kuna njaa lazima watashusha sketi cha kuwasaidia ni kuua hiyo njaa ili hata wakiombwa watoe kwa hiari yao na sio shinikizo la shida!
Nimegundua tatizo lipo kwangu it took life in different angles.. I took it so simple because I care nothing..Literally nothing about what will gonna happen to me!
So I'm forcing others to follow my ways (Ideas and principles).
At the end this just a suggestion if some will see this rocks better atembee nayo..Kamaa ni upuuzi aupotezee tu
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Wewe ni mwoga sana. Unakata tamaa kirahisi sana.

Yaani kuna mtu kama Zurri angefungua uzi kama huu, angekomaa nao hadi watu wamwachie uzi waondoke.

Kusema hautaandika kuhusu watu tena unamaanisha pengine upo sahihi ila watu wanaamua kukukomoa kwa kupinga.

Sasa kama ni hivo komaa mpaka mwisho, usikate tamaa kirahisi hivi ni udhaifu.
Ahsante nimekuelewa mkuu.. Will try to be bold
 
I think watu wamekariri sijui kuwa mabosi wooote watu wabaya na wana ngoma
Wengine mbona watu wazuri tu..it depends unakutana na nani

Uzi mzima thamani thamaniii....fanya hio thamani ikulishe basi😅

Kaandika ukweli mtupu ila the right things are always difficult!
Na haviku'guarantee kutoka!!
Samahani sana mkuu..
Ila chaguzi ni lako maishani..
 
Ulipokuwa na miaka 14 ulikuwa unafanya ngono kwa sababu unaitikia vichocheo( hisia zako zinakutuma), na kwangu mimi hiyo shida. That's the way we are wired;unampenda au kumtamani mtu, then unamake efforts kumpata.

Lakini wewe kutoa ngono kwa sababu ya kuhaidiwa kazi, thats completely different. Ndio maana hata sheria za nchi zinasema hilo ni kosa. Ila ukitoa kwa hiyari yako mbona ni poa kabisa, hata kama umetoa kwa watu 20, nobody will arrest you for that.
Ni mbaya na inapigwa vita kwa sababu ni rushwa kama rushwa zingine, lakini kwa mtoaji sioni kama inaleta damage yoyote as long as hajabakwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom