Ladies Usikubali kumkaribisha maishani mwako, No matter how life is damn miserable to you. Wewe ni wathamani

Ladies Usikubali kumkaribisha maishani mwako, No matter how life is damn miserable to you. Wewe ni wathamani

mkuu you have a huge point here bro....lakini kwa kizazi cha sa hivi man hatuwezi kuona hili....moja kwa sababu tumejaa tamaa ya vitu vilivyonje ya uwezo wetu kwa sasa,pili kwa sababu hatuna chembe la uvumilivu katika maisha....watu tunapata msongo wa mawazo na magonjwa kwa sababu ya tamaa ya vitu au maisha yaliyo nje ya uwezo kwa sasa.
 
Mtu kaanza kuliwa chuo huko mpaka na waume za watu.
Kutoa tu pussy ili apate kazi ataona ugumu gani?
 
Mtu kaanza kuliwa chuo huko mpaka na waume za watu.
Kutoa tu pussy ili apate kazi ataona ugumu gani?
Ndio maana nawambia haweshimu utu wao..sio kila mtu achovye kwenye bakuli laje
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sawa Mkuu pole na Uchovu ulale sasa
Asante, na leo nimechoka acha nilale kabla sijaombwa.
Lala pia salama/ shinda salama.
 
mkuu you have a huge point here bro....lakini kwa kizazi cha sa hivi man hatuwezi kuona hili....moja kwa sababu tumejaa tamaa ya vitu vilivyonje ya uwezo wetu kwa sasa,pili kwa sababu hatuna chembe la uvumilivu katika maisha....watu tunapata msongo wa mawazo na magonjwa kwa sababu ya tamaa ya vitu au maisha yaliyo nje ya uwezo kwa sasa.
We've chose to live like savages, Ila mimi nashindwa sana kuendana na system za dunia..
Nyingi zinatupeleka tuishi like damned
 
  • Thanks
Reactions: Auz
mkuu you have a huge point here bro....lakini kwa kizazi cha sa hivi man hatuwezi kuona hili....moja kwa sababu tumejaa tamaa ya vitu vilivyonje ya uwezo wetu kwa sasa,pili kwa sababu hatuna chembe la uvumilivu katika maisha....watu tunapata msongo wa mawazo na magonjwa kwa sababu ya tamaa ya vitu au maisha yaliyo nje ya uwezo kwa sasa.
Mkuu sio tamaa ya vitu vilivyo nje ya uwezo wetu, ni kwamba jamii ya sasa imeoza. Hivi kwa mfano kazi ipo ya graduate na wewe ni graduate ila boss anataka nyapu ndio akuajiri ingawa sifa unazo...hivi hapo utasema unatamani vitu vilivyo nje ya uwezo wako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti ukiahidiwa ndoa ukatoa hakuna shida, ila ukiahidiwa kazi ukatoa hilo ni tatizo!!! Hivi kwanini tunapenda kuchagua dhambi, kwamba zinazotufavour ni dhambi ila kinyume chake sio!!![emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Kwenye ndoa tu sometimes mnapewa sababu ya kutaka fabour fulani sembuse uahidiwe maisha!!
Hebu tuwe serious kidogo.
Unaweza mwambia mtu ukweli akahisi unamkejeli, So mkubwa kuwa makini muwa ulizamishaga meli
-Roma ft Darassa x Jose mtambo _ Kaa tayari
 
Nimegundua tatizo lipo kwangu it took life in different angles.. I took it so simple because I care nothing..Literally nothing about what will gonna happen to me!
So I'm forcing others to follow my ways (Ideas and principles).
At the end this just a suggestion if some will see this rocks better atembee nayo..Kamaa ni upuuzi aupotezee tu
He he mkuu hujaandika kitu cha kipuuzi ila kusema mtu kuwa mvumilivu kwa tabu za maisha hapo tunadanganyana! Solution ni kutatua shida walizonazo,shida zitakazowafanya wasithaminike,shida zinazowavulisha pichu bila kupenda!.
Mtu akiwa na shida atatafuta mlango wa kutokea so ni vyema kuwa na milango kabla ya shida maana nasi mijanaume tuko vyema kuvitafuna vitafunwa😂
Unakuta mtoto ni mtoto kweli ukimuacha mpk unajihisi unahatia maishani umemkosea Mungu na shetani kwa wakati mmoja!! Nature still the nature mkuu😜
Wakileta twala but in a safely way ili kuhakiki hakuna kinachoharibika
 
Nimeacha kusoma pale mleta mada alipoanza kuleta masuala ya bikra. Nikajua huyu anakoelekea sipakubali hata.
 
Back
Top Bottom