elimuplatform
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,054
- 462
Hakomi tu alishaanza kupata mwili mdada wa watu sasa anatafuta stress party tu, atampa huyo kick akipata umaarufu na kutumia hovyo mali zake watajitokeza wakina gigi na tunu kama ishirini na hapo tutakuwa tumeshampoteza, pressure yake itakuwa juu sanaMsanii nguli na namba moja nchini kwa upande wa kina dada binti machozi, komamdo, anaconda, lady jay dee amefunga ndoa weekend hii kupitia mtandao wa I.G amepost baadhi ya picha akila honey moon uko Zanzibar
Chezea dyudyu, kusugua na kusuguliwa kunaweza sababishia mtu homaHakomi tu alishaanza kupata mwili mdada wa watu sasa anatafuta stress party tu, atampa huyo kick akipata umaarufu na kutumia hovyo mali zake watajitokeza wakina gigi na tunu kama ishirini na hapo tutakuwa tumeshampoteza, pressure yake itakuwa juu sana
kwambaHuyo ndiye shemela mpya?
Kama ni kweli ni jambo la kheri,hongera zao.
Na hili liwe fundisho kwa ving'ang'anizi wa mahusiano yaliyokufa.
Maisha lazima yaendelee,lakini mahusiano mfu hayawezi kuendelea.
Period
mie ni mwanaume labda wewe mwanamke mwenzie umsaidie
Kwa lipi mkuu...huu dada sidhani kama anastahili kupendwa bureDaudi MchambDada sidha post: 18527394 said:Nampenda bure huyu dada
kweli!! hes too handsomekaka mzuri huyu, walah jide ukizubaa utaibiwa