elimuplatform
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,054
- 462
Hakomi tu alishaanza kupata mwili mdada wa watu sasa anatafuta stress party tu, atampa huyo kick akipata umaarufu na kutumia hovyo mali zake watajitokeza wakina gigi na tunu kama ishirini na hapo tutakuwa tumeshampoteza, pressure yake itakuwa juu sanaMsanii nguli na namba moja nchini kwa upande wa kina dada binti machozi, komamdo, anaconda, lady jay dee amefunga ndoa weekend hii kupitia mtandao wa I.G amepost baadhi ya picha akila honey moon uko Zanzibar
![]()
![]()