1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Kwenye heading ya mleta mada niliielewa kwa mbali sana, ila alipokuja kuweka hii image ndio kabisa siwezi kuelewa.Donnie Charlie,
Uwiano upi unaotaka kumweka Zuchu na JD?. Unaweza sema Zuchu akifanya hiki ama kile anaweza dumu au kupasua kama JD ila sio kumpambanisha ama kumlinganisha. That's why leo Mohamad Ali, Tyson or Mayweather watasemwa kwa ubora ila sio kwa kuwapambanisha. PERIOD!
Donnie Charlie,
Uwiano upi unaotaka kumweka Zuchu na JD?. Unaweza sema Zuchu akifanya hiki ama kile anaweza dumu au kupasua kama JD ila sio kumpambanisha ama kumlinganisha. That's why leo Mohamad Ali, Tyson or Mayweather watasemwa kwa ubora ila sio kwa kuwapambanisha. PERIOD!
Usitume wahuni kuchafua wenzio acha kazi ziongee mwisho wa siku dunia itasema nani ni zaidi, kutangulia kuimba sio kujua kuliko wote
Sawa, wakifanya vizuri usijibane wewe funguka tu uwasifie, usiishe kucheza Dodo bafuni alafu ukiwa mbele ya raiya unajibana π€£π€£π€£@daudiMchambuzi Me sio mshabiki wa diamond kimziki kwa asilimia π― anaweza akapata 50 au 60 percentage ila Ni mshabiki wake wa Mafanikio yake kwa asilimia π― nazani utakuwa umenisoma vizuri natamani wasanii wa bongo wawe hard work Kama huyu jamaa.Kuhusu Alikiba namkubali yule wa 2016 kurudi nyuma na Ni msanii ambaye nilikuwa namkubali Sana kuliko msanii yoyote wa hapa bongo pamoja nilikuwa namkubali lakini sijawahi kabisa kuvutiwa nje ya mziki wake ikiwemo namna anavyojibrand, hard work yake ya Kazi n.k Ila Alikiba wa sasa kapoa Sana si mziki wake Wala nje ya mziki afanyi hit song tena.Tukija kwa Harmonize, Harmonize sijawahi kumkumkubali tangu yupo WCB pia sijawahi kumchukia na nikwasababu alikuwa Hana self identification na uimbaji wake ujawahi kunivutia Hadi sasa.
Zuchu sio mkali kigezo cha YouTube views ni nyumbu wa MondUkiona wengi wanamfananisha na kumpambanisha Zuchu na wasanii wakubwa basi jua she's more talented kiasi kwamba watu washaanza kumuogopa. Wakati nandy, na maua sama wanapanda kwenye charts hakuwepo mtu wa kuwapambanisha leo anatoka Zuchu limeibuka kundi la haters ambao kila siku ni kumponda na kumpambanisha na wasanii wakike waliotangulia "mara hana uwezo kushinda Nandy, Maua Sama na Mimi mars", "Oh, anabebwa na label", "Oh, muimba taarab", "Oh, pose zile zile", "Oh, she's not sexy".
Hizi ni ishara kuwa Zuchu ni nitishio kwao, pia wasichojua kuwa Zuchu alikuwa msanii aliyekamilika tangu akiwa anaingia Wasafi 4yrs ago, amekaa pale akisoma game na strategy za ku-win pia kuongeza maujuzi lakini angeweza kutoka enzi Nandy ni mbichi kwenye game.
Watu wanatakiwa kutulia kumpa nafasi Zuchu afanye kile akipendacho kama ilivyokuwa kwa wasanii wengini kumu-attack means ni tishio kwa mashabiki wa wasanii pambanishwa, na bado Zuchu ataendelea kuwanyima usingizi bado mapema mno kulalamika! πππ
@DaudiMchambuzi Dodo ngoma gani hiv dodo unaweza kufananisha na "Aje" hiv umeelewa kweli andiko langu kweli? au umejibu bila kuelewa?Sawa, wakifanya vizuri usijibane wewe funguka tu uwasifie, usiishe kucheza Dodo bafuni alafu ukiwa mbele ya raiya unajibana π€£π€£π€£
hapana Dodo haiwezi kufananisha na Aje hata kidogo,@DaudiMchambuzi Dodo ngoma gani hiv dodo unaweza kufananisha na "Aje" hiv umeelewa kweli andiko langu kweli? au umejibu bila kuelewa?
@DaudiMchambuzi Me nimpenzi wa music mzuri haswa Tena Kuna wasanii nawasikiliza nikikutajia wewe hata huwafahamu me siwezi kusifia ngoma mbaya niseme Ni nzuri au ngoma nzuri niseme mbaya ngoma za Kiba za mwisho nilizozielewa Ni seduce me na kadogo ngoma zilizofuata baada ya hizi azijawahi kunivutia Cha msingi kiba atoe ngoma kali Kama alivyokuwa anatoa mwanzo me mbona nilisifia alivyotoa seduce me na kadogo na nilizipost humu na kusifiahapana Dodo haiwezi kufananisha na Aje hata kidogo,
kila moja ina maudhui yake na kila moja ladha ya kipekee kuanzia kwenye uandishi, mahadhi.
Usiumie roho msanii usiyempenda akifanya vizuri,
yani jifunze kuwa na mawazo huru utaishi maisha ya furaha saana coz utakua flexible hadi kuwakosoa wale unaowashabikia na kuwasifia hata wale usiowashabikia.
Mimi sio shabiki wa Diamond ila nasema wazi Jeje ni ngom kali.
Be honest to yourself hata kama una stress za kulala kwenye kochi nyumbani kwa shemeji aliyemchumbia dadaπ€£π€£π€£
hahaha hao wasanii ambao ukinitajia na nisiweze kuwafahamu labda wawe manyoka wenzako mliozaliwa nao mwaka 2005.@DaudiMchambuzi Me nimpenzi wa music mzuri haswa Tena Kuna wasanii nawasikiliza nikikutajia wewe hata huwafahamu me siwezi kusifia ngoma mbaya niseme Ni nzuri au ngoma nzuri niseme mbaya ngoma za Kiba za mwisho nilizozielewa Ni seduce me na kadogo ngoma zilizofuata baada ya hizi azijawahi kunivutia Cha msingi kiba atoe ngoma kali Kama alivyokuwa anatoa mwanzo me mbona nilisifia alivyotoa seduce me na kadogo na nilizipost humu na kusifia
Mbona unatukana sasa?hahaha hao wasanii ambao ukinitajia na nisiweze kuwafahamu labda wawe manyoka wenzako mliozaliwa nao mwaka 2005.
Babe, huyu zuchu anaimba nini? Sijawahi kumsikiliza hata dakika 0Zuchu ni msanii mzuri kweli lakini msimkosee heshima Nandy, Jide na wengineo.
Ni binti fulani mrembo kama wewe ila hajakuzidi.Babe, huyu zuchu anaimba nini? Sijawahi kumsikiliza hata dakika 0
Jamani bebe[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8].....Ni binti fulani mrembo kama wewe ila hajakuzidi.
Yuko pale dabliusibii anaimba bongo flava ni mtoto wa Hadija Kopa.
Yaani miaka 4 aliyokaa wasafi ndio anaimba kawaida vile?Ukiona wengi wanamfananisha na kumpambanisha Zuchu na wasanii wakubwa basi jua she's more talented kiasi kwamba watu washaanza kumuogopa. Wakati nandy, na maua sama wanapanda kwenye charts hakuwepo mtu wa kuwapambanisha leo anatoka Zuchu limeibuka kundi la haters ambao kila siku ni kumponda na kumpambanisha na wasanii wakike waliotangulia "mara hana uwezo kushinda Nandy, Maua Sama na Mimi mars", "Oh, anabebwa na label", "Oh, muimba taarab", "Oh, pose zile zile", "Oh, she's not sexy".
Hizi ni ishara kuwa Zuchu ni nitishio kwao, pia wasichojua kuwa Zuchu alikuwa msanii aliyekamilika tangu akiwa anaingia Wasafi 4yrs ago, amekaa pale akisoma game na strategy za ku-win pia kuongeza maujuzi lakini angeweza kutoka enzi Nandy ni mbichi kwenye game.
Watu wanatakiwa kutulia kumpa nafasi Zuchu afanye kile akipendacho kama ilivyokuwa kwa wasanii wengini kumu-attack means ni tishio kwa mashabiki wa wasanii pambanishwa, na bado Zuchu ataendelea kuwanyima usingizi bado mapema mno kulalamika! πππ
Unasema ni mashabiki? Mashabiki gani hao? Mbona sisi mashabiki hatujasema hivo? Uwezo wa kuimba? Unamjua ruby? Ktk hao uliowataja huyo zuchu ndio msanii mwenye uwezo mdogo wa kuimba kuliko wote japokuwa anaweza kufanikiwa coz label aliyopo muziki wameukamataMkuu sio mimi niliomringanisha ni watanzania ndio wanasema uwezo wa Zuchu ni mkubwa kuliko hao waliomtangulia.
Na unaposema hawezi kupafom yeye kama yeye ni lini umemuona kasimama jukwaani akashindwa kupafom? Tuwasikilize watanzania sio wajinga.
Yaani Zuchu ana ka EP kamoja, mnataka kumuweka ligi na mtu mwenye alabamu zaidi ya kumi? Nyie watoto wa siku hiz mkoje?Jide ameonyesha kuipenda na kufurahia tweet ya shabiki mmoja asiyejua muziki.
Ni wazi 'like' aliyotoa Jide inaonyesha chuki aliyonayo kwa Zuchu ambae ni kama mtoto wa kumzaa kwake. Maoni ni mengi mtandaoni na watanzania wanasema Zuchu ndio kipenzi chao na kwenye uimbaji hana mpinzani kwa sasa, waliosema ni wananchi sio Zuchu sielewi wewe dada kwa nini Zuchu anakunyima usingizi
Nataka tu kumwambia Jide, kama watanzania wameamua kwa sauti moja kumpitisha Zuchu kuwa malkia mpya wa bongofleva.. Hauwezi kuzuia maana wakati wako umepita, muziki wa bongofleva kwa kina dada ni wa Zuchu kwa sasa.
Usitume wahuni kuchafua wenzio acha kazi ziongee mwisho wa siku dunia itasema nani ni zaidi, kutangulia kuimba sio kujua kuliko wote
View attachment 1466104
Kwani hili jukwaa LA matangazo madogo madogo?Samahani mimi nimgeni ...Zuchu ni label au sabuni au nini samahani sifahamu chochote nimepotea njia.