Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
huwezi linganisha kichuguu na mlima kilimanjaro.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona sijaona comment yako kwenye Uzi wa Diamond kutokea kwenye billboard?huwezi linganisha kichuguu na mlima kilimanjaro.
upi huo? sijauona.Mbona sijaona comment yako kwenye Uzi wa Diamond kutokea kwenye billboard?
Komando Jide anaitwa ni next levelChocho alizo pita Lady Jay hakuna msanii atakae fikia level zake za music
Mzee acha uongo eti ujauona Uzi wakati Uzi upo open kabisa.upi huo? sijauona.
Kama Diamond ametokea kwenye Billbord ni jambo la kheri na pongezi sana kwake.
Una swali lingine??
bwana mdogo sijaona uzi wako, na nikiuona pia nitampongeza Diamond,Mzee acha uongo eti ujauona Uzi wakati Uzi upo open kabisa.
Sio Diamond wangu kwa sababu me sifaidi as personal Bali Taifa ndio linafaidika.Diamond wa Tanzania kwasababu kupitia hayo Mafanikio yake yatachangia kukuza industry ya music Tanzania na kuanza industry ya mziki wa Tanzania kuangaliwa kwa jicho la tatu Kama tulivyoanza kupenya kwenye soko la Africa.Sijui umnamchukiaga nini mond cos kupitia yeye anatoa njia kwa watu wenginebwana mdogo sijaona uzi wako, na nikiuona pia nitampongeza Diamond,
ila kwasababu umenijuza hapa natanguliza pongeze zangu za dhati kwa Diamond kwa kuingia kwenye Billbord ni hatua kubwa.
Una swali lingine? au hupendi nikimsifia Diamond wako 🤣 🤣 🤣
Harmonize je anashanikiwa na nani?Huu ndo Ukweli,.
Na cha kuongezea ni Kua Wasanii wa Wcb Hawana Mashabiki, wanashabikiwa na mashabiki wa Diamond
Diamond ana media, ana mashabiki wengi wanaomsapoti kuliko msanii yoyote kashinda Vita dhidi ya clouds kwasababu ya ukubwa wake sio kwa sababu ya mameneja wake
Hao watanzania walifanyia wapi huo mkutano na kufikia hayo maamuzi?Mkuu sio mimi niliomringanisha ni watanzania ndio wanasema uwezo wa Zuchu ni mkubwa kuliko hao waliomtangulia.
Na unaposema hawezi kupafom yeye kama yeye ni lini umemuona kasimama jukwaani akashindwa kupafom? Tuwasikilize watanzania sio wajinga.