Lady Jay Dee lazima ukubali, huu ni wakati wa Zuchu

Lady Jay Dee lazima ukubali, huu ni wakati wa Zuchu

Kikubwa alichofanya Jay dee ambacho Zuchu na wasanii wengine wakike hawawezi kukifanya ni "consistency", mara ya kwanza umesikia hit song ya Jay dee ni lini na mara ya mwisho ni lini.?????hiki kitu wameshindwa kina Stara thomas, Ray c, Vumilia e.t.c

Kwasababu hizi coments zitakuwepo tuombe uzima tuwe hai mwaka 2030 alafu ntakuuliza yukwapi Zuchu.!!

Mbona hata Vanessa mdee mlisema ni mkali zaidi ya Jide, sahivi yukwapi.???

Hapa East Africa, HAkuna, nasisitiza hakuna wakumfikia Jide kwa wasanii wa kike.!!!

To remind you: MNAMKUBALI SANA BOSS WENU DIAMOND KWASABABU YA KUBANIWA NA CLOUDS LAKINI BADO AKABAKI JUU, SASA HICHO ALICHOFANYA DIAMOND CHA KUIDINDISHIA CLOUDS NA AKAFANIKIWA AMEKIFANYA AKIWA NA MAMENEJA BORA WA BONGO FLEVA WA3(SALAAM, TALE, FELA), JIDE ALIKIFANYA AKIWA PEKEYAKE NA AKAFANIKIWA TENA HAO AKINA FELA NA TALE WALIKUWA UPANDE WA CLOUDS,..

NI WASANII WA3 TU WALIOWAHI KUINGIA BEEF NA CLOUDS NA WAKAFANIKIWA KUENDELEA KUWA JUU...

1.SUGU
2.JAY DEE
3.DIAMOND

Ndugu, Zuchu hajafika hata levels za Nandy, Ruby, sahivi yupo zile level alizokuwaga yule anaitwa Rachel kizunguzungu tofauti yao ni EP tu..

Akitoka hapo itabidi a climb kwa Nandy + Ruby + Linah, akitoka hapo aende level za kina Mwasiti + Vanessa mdee, akitoka hapo aende level za kina Ray c , akitoka hapo mpe miaka 10 awe anafanya vizuri kwenye game ndiyo tuje kumfananisha na Comando...
We umesema Diamond kafanikiwaa kwa sababu yupo chini ya mameneja watatu Kama Ni hivyo kwanini hao mameneja wameshindwa kuwafikisha wasanii waliowahi kuwasimamia kwenye level ya Diamond?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi ndio kama wewe mkuu.
Nilivyosikia nikajua Zuchu ni aina ya mafuta au sabuni kwa sababu hilo jina kwa haraka haraka limefanana na puchu yaani kupiga punyeto.
Samahani mimi nimgeni ...Zuchu ni label au sabuni au nini samahani sifahamu chochote nimepotea njia.
 
Ukiona wengi wanamfananisha na kumpambanisha Zuchu na wasanii wakubwa basi jua she's more talented kiasi kwamba watu washaanza kumuogopa. Wakati nandy, na maua sama wanapanda kwenye charts hakuwepo mtu wa kuwapambanisha leo anatoka Zuchu limeibuka kundi la haters ambao kila siku ni kumponda na kumpambanisha na wasanii wakike waliotangulia "mara hana uwezo kushinda Nandy, Maua Sama na Mimi mars", "Oh, anabebwa na label", "Oh, muimba taarab", "Oh, pose zile zile", "Oh, she's not sexy".
Hizi ni ishara kuwa Zuchu ni nitishio kwao, pia wasichojua kuwa Zuchu alikuwa msanii aliyekamilika tangu akiwa anaingia Wasafi 4yrs ago, amekaa pale akisoma game na strategy za ku-win pia kuongeza maujuzi lakini angeweza kutoka enzi Nandy ni mbichi kwenye game.
Watu wanatakiwa kutulia kumpa nafasi Zuchu afanye kile akipendacho kama ilivyokuwa kwa wasanii wengini kumu-attack means ni tishio kwa mashabiki wa wasanii pambanishwa, na bado Zuchu ataendelea kuwanyima usingizi bado mapema mno kulalamika! 😁😁😁
Mkuu sio mimi niliomringanisha ni watanzania ndio wanasema uwezo wa Zuchu ni mkubwa kuliko hao waliomtangulia.
Na unaposema hawezi kupafom yeye kama yeye ni lini umemuona kasimama jukwaani akashindwa kupafom? Tuwasikilize watanzania sio wajinga.
Zuchu na wasani wote wa wasafi hawawezi kulinganishwa na mimi. Sijaona wasani pale hata nyimbo zao huwa sisikilizi kwanza. Mimi labda nilinganishe na akina Beyone etc. Nyimbo kwanza hawajui kutunga. Wanatunga nyimbo hazina maana. Kinacho wabeba ni video tu na midundo. Ukisema waimbe acapella hao watatoka na zero.
 
Mashabiki wa wasafi sijui mna matatizo gani.!!

Sasa unaweza mfananisha Zuchu na Jaydee.????

Hata kwa Ray c bado hajafika kabisa, sahiv yupo kwenye zile level za kina Linah..

Zuchu hamfikii hata Mwasiti..

Alafu kwani mkisema tu Zuchu ni mkali bila kuwaingiza wasanii wengine kuna tatizo.??

Let say kwasababu Roma anavuma kwa sasa kwahiyo Roma ni mkali zaidi ya Prof.Jay.???

Hizo bange sijui mnavutia m@k@|¡●.????
Level za lina !? You can't be serious ..mbona Mimi hata nyimbo zake sizijui aise
 
Ukiona wengi wanamfananisha na kumpambanisha Zuchu na wasanii wakubwa basi jua she's more talented kiasi kwamba watu washaanza kumuogopa. Wakati nandy, na maua sama wanapanda kwenye charts hakuwepo mtu wa kuwapambanisha leo anatoka Zuchu limeibuka kundi la haters ambao kila siku ni kumponda na kumpambanisha na wasanii wakike waliotangulia "mara hana uwezo kushinda Nandy, Maua Sama na Mimi mars", "Oh, anabebwa na label", "Oh, muimba taarab", "Oh, pose zile zile", "Oh, she's not sexy".
Hizi ni ishara kuwa Zuchu ni nitishio kwao, pia wasichojua kuwa Zuchu alikuwa msanii aliyekamilika tangu akiwa anaingia Wasafi 4yrs ago, amekaa pale akisoma game na strategy za ku-win pia kuongeza maujuzi lakini angeweza kutoka enzi Nandy ni mbichi kwenye game.
Watu wanatakiwa kutulia kumpa nafasi Zuchu afanye kile akipendacho kama ilivyokuwa kwa wasanii wengini kumu-attack means ni tishio kwa mashabiki wa wasanii pambanishwa, na bado Zuchu ataendelea kuwanyima usingizi bado mapema mno kulalamika! [emoji16][emoji16][emoji16]
Well said
 
Ama kweli naamini ushabiki ni ugonjwa.
sasa hapa ndio kaimba utumbo gani wa maana hadi watu wamfananishe na Jide.
Yaani kumwambia mpenzi wake amsamehe ndio imekuwa bonge la utunzi.
Mimi uimbaji wake sioni utofauti na akina msaga sumu tena afadhali hata akina msagasumu nyimbo zao zinachezeka na kuamsha popo.
Kwa hiyo washabiki anaweza kuwa nao wanyoa viduku hatukatai lakini kumfananisha na Jide ni sawa sawa kumtukana Jide.
Jide ni msanii wa karne huwezi kumfananisha na vikaragosi vinavyoimba matusi,vinavyovuma kwa miaka miwili na kupotea.
Tuheshimiane,naumia sana kuona watu wanawatukana waasisi wa Bongofleva.
 
Ni kweli aisee nyimbo zake zimepooza mno,bora hata nampa papa ukiipiga club inaamsha popo.
Mimi ni shabiki wa WCB, lakini lazima tukubaliane Kipaji cha Zuchu ni cha kawaida mno, yuko highly overatted, (Zuchu - WCB = Zero)Siwezi kumfananisha hata na Gigy Money wa Nampa Papa au Queen Darlin
 
Unajua hapo nilikuwa naongelea kufanikiwa kitu gank.???? Kwani hapo nimesema kufanikiwa kimuziki, au kufanikiwa kushinda beef lake na clouds.!!
We umesema Diamond kafanikiwaa kwa sababu yupo chini ya mameneja watatu Kama Ni hivyo kwanini hao mameneja wameshindwa kuwafikisha wasanii waliowahi kuwasimamia kwenye level ya Diamond?
 
Wewe ni mpumbavu
Jide ameonyesha kuipenda na kufurahia tweet ya shabiki mmoja asiyejua muziki.

Ni wazi 'like' aliyotoa Jide inaonyesha chuki aliyonayo kwa Zuchu ambae ni kama mtoto wa kumzaa kwake. Maoni ni mengi mtandaoni na watanzania wanasema Zuchu ndio kipenzi chao na kwenye uimbaji hana mpinzani kwa sasa, waliosema ni wananchi sio Zuchu sielewi wewe dada kwa nini Zuchu anakunyima usingizi

Nataka tu kumwambia Jide, kama watanzania wameamua kwa sauti moja kumpitisha Zuchu kuwa malkia mpya wa bongofleva.. Hauwezi kuzuia maana wakati wako umepita, muziki wa bongofleva kwa kina dada ni wa Zuchu kwa sasa.

Usitume wahuni kuchafua wenzio acha kazi ziongee mwisho wa siku dunia itasema nani ni zaidi, kutangulia kuimba sio kujua kuliko wote

View attachment 1466104
 
Mashabiki wa wasafi sijui mna matatizo gani.!!

Sasa unaweza mfananisha Zuchu na Jaydee.????

Hata kwa Ray c bado hajafika kabisa, sahiv yupo kwenye zile level za kina Linah..

Zuchu hamfikii hata Mwasiti..

Alafu kwani mkisema tu Zuchu ni mkali bila kuwaingiza wasanii wengine kuna tatizo.??

Let say kwasababu Roma anavuma kwa sasa kwahiyo Roma ni mkali zaidi ya Prof.Jay.???

Hizo bange sijui mnavutia m@k@|¡●.????
Chocho alizo pita Lady Jay hakuna msanii atakae fikia level zake za music
 
Unajua hapo nilikuwa naongelea kufanikiwa kitu gank.???? Kwani hapo nimesema kufanikiwa kimuziki, au kufanikiwa kushinda beef lake na clouds.!!
Diamond ana media, ana mashabiki wengi wanaomsapoti kuliko msanii yoyote kashinda Vita dhidi ya clouds kwasababu ya ukubwa wake sio kwa sababu ya mameneja wake
 
Jide ameonyesha kuipenda na kufurahia tweet ya shabiki mmoja asiyejua muziki.

Ni wazi 'like' aliyotoa Jide inaonyesha chuki aliyonayo kwa Zuchu ambae ni kama mtoto wa kumzaa kwake. Maoni ni mengi mtandaoni na watanzania wanasema Zuchu ndio kipenzi chao na kwenye uimbaji hana mpinzani kwa sasa, waliosema ni wananchi sio Zuchu sielewi wewe dada kwa nini Zuchu anakunyima usingizi

Nataka tu kumwambia Jide, kama watanzania wameamua kwa sauti moja kumpitisha Zuchu kuwa malkia mpya wa bongofleva.. Hauwezi kuzuia maana wakati wako umepita, muziki wa bongofleva kwa kina dada ni wa Zuchu kwa sasa.

Usitume wahuni kuchafua wenzio acha kazi ziongee mwisho wa siku dunia itasema nani ni zaidi, kutangulia kuimba sio kujua kuliko wote

View attachment 1466104

Huu nao ni ujinga kaama ujinga mwingine hivi mtu ku like kitu ndio amependa au kuchukuzwa nacho? Mimi humu mbona watu huwa wananitukana natoa like tuu! Mtu kutoa like inaweza kuwa na maana nyingi sana pengine ni kuheshimu maoni ya mtu juu ya watu!


Hivi kweli mtu mwenye akili timamu anaweza kumfananisha Zuchu na Lady Jaydee kweli.....labda huyo mtu kazaliwa mwaka juzi!

Zuchu awezi fika hata chembe level za Lady Jaydeee... Zuchu ana kazi ya kumfikia kwanza Nandy na wengine ndio awekwe karibu na level za Lady Jaydee!


Zuchu usikubali kuvimbishwa kichwa na hawa mashabiki wajinga ukajisahau....ukweli ni kwamba Zuchu bado hajafanya lolote la kumfanya awe level za hao waliotajwa!
 
Back
Top Bottom