warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Mwanamuziki nguli wa bongo fleva na mmliki wa machozi band, Judith wambura aka lady jaydee ameonekana kusalimu amri kwa utawala wa radio clouds FM kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni kuyumba kibiashara katika muziki wake.
Kutokana na hali hiyo, ndipo ikaelezwa jaydee akaamua kuwaangukia mahasimu wake(ruge na kusaga) ili waendelee kumsaidia kama ilivyokuwa mwanzo.
"Ni taarifa za kweli kabisa, wameshakaa kikao na jide akaomba asamehewe, wakati wowote kuanzia sasa mtasikia Nyimbo za Lady jaydee zikipigwa Clouds FM" kilisema chanzo hicho.
Lady Jaydee akana kumpigia magoti Ruge
Kutokana na hali hiyo, ndipo ikaelezwa jaydee akaamua kuwaangukia mahasimu wake(ruge na kusaga) ili waendelee kumsaidia kama ilivyokuwa mwanzo.
"Ni taarifa za kweli kabisa, wameshakaa kikao na jide akaomba asamehewe, wakati wowote kuanzia sasa mtasikia Nyimbo za Lady jaydee zikipigwa Clouds FM" kilisema chanzo hicho.
Lady Jaydee akana kumpigia magoti Ruge
Kupitia ukurasa wake facebook Jaydee amesema " Nakanusha tena na tena, hii habari ni ya uongo na sijui walio
andika wana nia gani. Hiki kitu hakiwezi kuja kutokea. ..naweza kupiga magoti mbele za Mungu na mama yangu mzazi tu.""
![]()