FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,567
- 4,683
kwa kwe hali sio nzuri kwa wakongwe...Stara naye yupo njia panda hajui afanye injili au bongo fleva....Tutarajie visingizio vya kila aina............Any way ninachoweza kumsaidia dadangu Jide ni kuorodhesha vituo vyote ambavyo havichezi nyimbo ya Jide huku MANYARA nao uwachane live.....wamezidi kukubania dada....