Alikua anataka kiki ameipataYaani huyu Dada hapo ndo kwao ndo wakishua angekua mswazi km miye wa kwa mnyamani huku sijui ingekuaje...yaani kanikera!!
Mnoo hata kama kutafuta umaarufu ndo hvyo kweli
Sawa sio wa Casto wala wa Peter yeye aliwashwa nini kuanza kutupa list ya madem wa Casto? Aliongea kama nani kama sio kimbelembele? Na kutupa na ratiba ya mazishi juu. Sasa kaumbuka vibaya kimbelembele kimemuisha kuingilia ya watuU know hapa nacheka tu,mfano mdogo madame aliombeaga zari afie leba,same woman akajiweka kifront kumuwishi mtoto aliyetaka afe na mama ake leba.esma na mama ake kumkomesha zari walimpelekea mwanamke mwingine dai na bidada akafanya kweli na kitumbo ndiii,mtoto kuja duniani kageuka kero kwa hao wawili kuliko waliyetaka kumkomesha.
Ugomvi wa muna na casto unaingiliwa na wengi mno ila ladyna kajiweka upande usiopewa nafasi ya kusikilizwa. Wengi hawataki kusikia baba wa Pat ni Peter wanataka awe casto.
Wengi ili kuburudisha mashabiki wameendeleza kumnanga casto bila kufahamu ukweli husika.
Mtu yuko UK ila jamani maugomvi yote ya bongo anataka ashiriki.Yaani huyu Dada hapo ndo kwao ndo wakishua angekua mswazi km miye wa kwa mnyamani huku sijui ingekuaje...yaani kanikera!!
Mnoo hata kama kutafuta umaarufu ndo hvyo kweli
Bado mchumba ila nakaribia
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] loooh!haupati uarabu wala upemba!!Dada yule ni mshari kaaah!!yaani sijaona!Anapambana na yeye afikie ngozi ya Naj ili awe mwarabu kama mdogo ake
The fourth of July nakumbuka fire works za US embassy nikiwaga msasani kipindi kama hiki wao hawaendagi jangwaniAisee!
Hao wote siwajui.
Haya tuanze na huyo Muna Love au sijui Munalove?
Ni nani kwani?
Na huyo LadyN.....who is she?
I know....I know....this is way above [rather below, to be honest] my pay grade. But heck, it’s the 4th and I ain’t got shit to do so I might as well find something to do.
Now serve me the tea, please.
NB: Nadhani nimeuliza kistaarabu....
Si anajua kwao mambo safi na yuko mamtoni hana mpango wa kurudi Leo wala kesho yeye na mange hawana tofautiNa haogopi kitu [emoji23][emoji23][emoji23]
The fourth of July nakumbuka fire works za US embassy nikiwaga msasani kipindi kama hiki wao hawaendagi jangwani
Kweli tupuU know hapa nacheka tu,mfano mdogo madame aliombeaga zari afie leba,same woman akajiweka kifront kumuwishi mtoto aliyetaka afe na mama ake leba.esma na mama ake kumkomesha zari walimpelekea mwanamke mwingine dai na bidada akafanya kweli na kitumbo ndiii,mtoto kuja duniani kageuka kero kwa hao wawili kuliko waliyetaka kumkomesha.
Ugomvi wa muna na casto unaingiliwa na wengi mno ila ladyna kajiweka upande usiopewa nafasi ya kusikilizwa. Wengi hawataki kusikia baba wa Pat ni Peter wanataka awe casto.
Wengi ili kuburudisha mashabiki wameendeleza kumnanga casto bila kufahamu ukweli husika.