jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
S.A sasa ukienda kichwa kichwa wanakutapeli ndugu zako wa magomeni man, wabongo wachache sana waaminifu S.A sijui kwa nini, ila jamaa kataja Windhoek Namibia pako poa sana very organized… kwanza nchi ya kwanza kwa machakaramu Africa bi Nigeria na ya pili ni S.A mwanangu noma sana aisee….
Duh kweli ujanja mwingi ni ujinga ndio nchi yenye wasomi wengi sana Africa ila ustaarabu ni zero..1. Watanzania tujifunze kujivunia kwetu japo sisemi sisi Ni Bora kabisa Ila tunajitahidi
2. Binafsi, nimetembelea miji kadhaa Afrika (Kigali, Nairobi, Kampala, Bujumbura, Johannesburg, Durban, Cape Town, Windhoek, Gaborone, Cairo, Algiers, Lusaka) na nje ya Afrika (London, Vienna, Zurich, Madrid, Barcelona, Paris, Amsterdam, Frankfurt, Oslo, Stockholm, Dubai, Doha, Abu Dhabi, Manama, Muscat, Jeddah, Tokyo, Beijing) Ila sijawahi kuona mji mchafu kushinda Lagos.
3. Picha linaanzia airport hapo Ni mwendo wa uchafu kuanzia chooni, Hadi vibanda vya biashara (mbali na kuombwa rushwa na Immigration, customs na polisi wa kawaida). Ukiingia mtaan ndo utajua umefika mji wa namna gan. Hakika Lagos wanaupiga mwingi!
View attachment 2820122View attachment 2820123View attachment 2820124View attachment 2820125View attachment 2820135View attachment 2820152
Ukiingia Lagos (kuanzia airport) ni kama umeingia dampoDuh kweli ujanja mwingi ni ujinga ndio nchi yenye wasomi wengi sana Africa ila ustaarabu ni zero..
Machakaramu ndio vitu gani mkuu?
Kuna sehemu zao Lagos ushuani kule Victoria Island, ndizo wanaonesha sana. Ila kuna movies nyingine wanaonesha kitaa.Kwa hiyo kumbe Wanigeria huwa wanatuonyesha mapicha ya City Centre pekee siyo?
Nijuavyo Lagos ni boonge la Jiji lenye mandhari safi
Ile ninadhani ni Metropolitan yaani ni zaidi Jiji. Ninadhani wanaita Jimbo kama ilivyo Katanga ya DRCKuna sehemu zao Lagos ushuani kule Victoria Island, ndizo wanaonesha sana. Ila kuna movies nyingine wanaonesha kitaa.
Lagos ina watu takribani milioni 15, yani, unaweza kupata Dar mbili na bado zikawa hazijaifikia Lagos kwa wingi wa watu.
Kama hujatimba kwa Joe Biden mbado sana jomba.1. Watanzania tujifunze kujivunia kwetu japo sisemi sisi Ni Bora kabisa Ila tunajitahidi
2. Binafsi, nimetembelea miji kadhaa Afrika (Kigali, Nairobi, Kampala, Bujumbura, Johannesburg, Durban, Cape Town, Windhoek, Gaborone, Cairo, Algiers, Lusaka) na nje ya Afrika (London, Vienna, Zurich, Madrid, Barcelona, Paris, Amsterdam, Frankfurt, Oslo, Stockholm, Dubai, Doha, Abu Dhabi, Manama, Muscat, Jeddah, Tokyo, Beijing) Ila sijawahi kuona mji mchafu kushinda Lagos.
3. Picha linaanzia airport hapo Ni mwendo wa uchafu kuanzia chooni, Hadi vibanda vya biashara (mbali na kuombwa rushwa na Immigration, customs na polisi wa kawaida). Ukiingia mtaan ndo utajua umefika mji wa namna gan. Hakika Lagos wanaupiga mwingi!
View attachment 2820122View attachment 2820123View attachment 2820124View attachment 2820125View attachment 2820135View attachment 2820152
Wanaija hawachelewi kuweka mipicha ya uongo!Huenda zile picha zao ni za miji mingine Ila sio Lagos
Ila Jamaa limeichakaza dunia siyo utani!Kama hujatimba kwa Joe Biden mbado sana jomba.
Afrika huu weusi tuliopewa tofauti na wenzetu kuna namna. matatizo yetu ni yale yale. Ona ghana baada ya kuingia raisi ambaye mmoja wa wazazi wake alikuwa mzungu ikapaa ikawa ya demokrasia uchumi ukakua, sasa hivi inarudi kule kule.1. Watanzania tujifunze kujivunia kwetu japo sisemi sisi Ni Bora kabisa Ila tunajitahidi
2. Binafsi, nimetembelea miji kadhaa Afrika (Kigali, Nairobi, Kampala, Bujumbura, Johannesburg, Durban, Cape Town, Windhoek, Gaborone, Cairo, Algiers, Lusaka) na nje ya Afrika (London, Vienna, Zurich, Madrid, Barcelona, Paris, Amsterdam, Frankfurt, Oslo, Stockholm, Dubai, Doha, Abu Dhabi, Manama, Muscat, Jeddah, Tokyo, Beijing) Ila sijawahi kuona mji mchafu kushinda Lagos.
3. Picha linaanzia airport hapo Ni mwendo wa uchafu kuanzia chooni, Hadi vibanda vya biashara (mbali na kuombwa rushwa na Immigration, customs na polisi wa kawaida). Ukiingia mtaan ndo utajua umefika mji wa namna gan. Hakika Lagos wanaupiga mwingi!
View attachment 2820122View attachment 2820123View attachment 2820124View attachment 2820125View attachment 2820135View attachment 2820152
Kutakuwa na wahamiaji haramu wengi sana kwenye hiyo nchi kama hali iko hivyoUkiponea kwenye rushwa kwa Imm officers Kingine kudai tips🙌,hawaombi hawa binadamu ni kudai aiseeh .
Kama unamwamini, anaweza kuwa mcheza na mitandao tu akakupangia world tour fake.Ila Jamaa limeichakaza dunia siyo utani!
Hapa JF kila mtu alipiga One O level na A level na kila mtu kashapita Airports mbalimbali duniani.Kama unamwamini, anaweza kuwa mcheza na mitandao tu akakupangia world tour fake.