Lagos inanuka uchafu na Rushwa!

Lagos inanuka uchafu na Rushwa!

S.A sasa ukienda kichwa kichwa wanakutapeli ndugu zako wa magomeni man, wabongo wachache sana waaminifu S.A sijui kwa nini, ila jamaa kataja Windhoek Namibia pako poa sana very organized… kwanza nchi ya kwanza kwa machakaramu Africa bi Nigeria na ya pili ni S.A mwanangu noma sana aisee….

Machakaramu ndio vitu gani mkuu?
 
1. Watanzania tujifunze kujivunia kwetu japo sisemi sisi Ni Bora kabisa Ila tunajitahidi

2. Binafsi, nimetembelea miji kadhaa Afrika (Kigali, Nairobi, Kampala, Bujumbura, Johannesburg, Durban, Cape Town, Windhoek, Gaborone, Cairo, Algiers, Lusaka) na nje ya Afrika (London, Vienna, Zurich, Madrid, Barcelona, Paris, Amsterdam, Frankfurt, Oslo, Stockholm, Dubai, Doha, Abu Dhabi, Manama, Muscat, Jeddah, Tokyo, Beijing) Ila sijawahi kuona mji mchafu kushinda Lagos.

3. Picha linaanzia airport hapo Ni mwendo wa uchafu kuanzia chooni, Hadi vibanda vya biashara (mbali na kuombwa rushwa na Immigration, customs na polisi wa kawaida). Ukiingia mtaan ndo utajua umefika mji wa namna gan. Hakika Lagos wanaupiga mwingi!

View attachment 2820122View attachment 2820123View attachment 2820124View attachment 2820125View attachment 2820135View attachment 2820152
Duh kweli ujanja mwingi ni ujinga ndio nchi yenye wasomi wengi sana Africa ila ustaarabu ni zero..
 
Kwa hiyo kumbe Wanigeria huwa wanatuonyesha mapicha ya City Centre pekee siyo?

Nijuavyo Lagos ni boonge la Jiji lenye mandhari safi
Kuna sehemu zao Lagos ushuani kule Victoria Island, ndizo wanaonesha sana. Ila kuna movies nyingine wanaonesha kitaa.

Lagos ina watu takribani milioni 15, yani, unaweza kupata Dar mbili na bado zikawa hazijaifikia Lagos kwa wingi wa watu.
 
Kuna sehemu zao Lagos ushuani kule Victoria Island, ndizo wanaonesha sana. Ila kuna movies nyingine wanaonesha kitaa.

Lagos ina watu takribani milioni 15, yani, unaweza kupata Dar mbili na bado zikawa hazijaifikia Lagos kwa wingi wa watu.
Ile ninadhani ni Metropolitan yaani ni zaidi Jiji. Ninadhani wanaita Jimbo kama ilivyo Katanga ya DRC
 
1. Watanzania tujifunze kujivunia kwetu japo sisemi sisi Ni Bora kabisa Ila tunajitahidi

2. Binafsi, nimetembelea miji kadhaa Afrika (Kigali, Nairobi, Kampala, Bujumbura, Johannesburg, Durban, Cape Town, Windhoek, Gaborone, Cairo, Algiers, Lusaka) na nje ya Afrika (London, Vienna, Zurich, Madrid, Barcelona, Paris, Amsterdam, Frankfurt, Oslo, Stockholm, Dubai, Doha, Abu Dhabi, Manama, Muscat, Jeddah, Tokyo, Beijing) Ila sijawahi kuona mji mchafu kushinda Lagos.

3. Picha linaanzia airport hapo Ni mwendo wa uchafu kuanzia chooni, Hadi vibanda vya biashara (mbali na kuombwa rushwa na Immigration, customs na polisi wa kawaida). Ukiingia mtaan ndo utajua umefika mji wa namna gan. Hakika Lagos wanaupiga mwingi!

View attachment 2820122View attachment 2820123View attachment 2820124View attachment 2820125View attachment 2820135View attachment 2820152
Kama hujatimba kwa Joe Biden mbado sana jomba.
 
1. Watanzania tujifunze kujivunia kwetu japo sisemi sisi Ni Bora kabisa Ila tunajitahidi

2. Binafsi, nimetembelea miji kadhaa Afrika (Kigali, Nairobi, Kampala, Bujumbura, Johannesburg, Durban, Cape Town, Windhoek, Gaborone, Cairo, Algiers, Lusaka) na nje ya Afrika (London, Vienna, Zurich, Madrid, Barcelona, Paris, Amsterdam, Frankfurt, Oslo, Stockholm, Dubai, Doha, Abu Dhabi, Manama, Muscat, Jeddah, Tokyo, Beijing) Ila sijawahi kuona mji mchafu kushinda Lagos.

3. Picha linaanzia airport hapo Ni mwendo wa uchafu kuanzia chooni, Hadi vibanda vya biashara (mbali na kuombwa rushwa na Immigration, customs na polisi wa kawaida). Ukiingia mtaan ndo utajua umefika mji wa namna gan. Hakika Lagos wanaupiga mwingi!

View attachment 2820122View attachment 2820123View attachment 2820124View attachment 2820125View attachment 2820135View attachment 2820152
Afrika huu weusi tuliopewa tofauti na wenzetu kuna namna. matatizo yetu ni yale yale. Ona ghana baada ya kuingia raisi ambaye mmoja wa wazazi wake alikuwa mzungu ikapaa ikawa ya demokrasia uchumi ukakua, sasa hivi inarudi kule kule.
Yani afrika tuna matatizo yanafanana sijui nani katuroga
 
Back
Top Bottom