Lagos inanuka uchafu na Rushwa!

Nilienda UK nikaishi mjin wa HEREFORD ,ni ksafi Sana jamani hawa jamaa wamebarikiwa
 
Tatizo ni kuzaliana hovyo, na huyo raisi wenyu marehemu watanzania aliyewaamuru mkazaliane,huko huko ndiko mnakoelekea.
 
Waafrika bado si binadamu kamili.

Bado wapo kwenye Evolution ya kuwa binadamu kamili
 
Nigerians haya majitu yapo smart sana kichwani .
Ni vile tu mifumo ya nchi nyingi za Afrika ni mibovu .
Haya majitu at right environment yanathrive sana .
 
Ila pia Lagos nayo ina watu wengi, imagine lagos ina kadiriwa 16.5 milion. Wakati Dar ina 7.7 million. Kwenye watu wengi kuna mengi. Uchafu, rushwa, ukahaba, matapeli....
 
Aisee
Umefika kwa kutumia google VR ?
Maana kama mimi ndio ningekuwa bize hivyo sidhani ningeweza hata kufungua akaunti JF
 
Wanamiliki malls Dubai kuliko wenyeji
Kabisa , yako vizuri mno .
Ni yametapakaa kote duniani
Kuna usemi unasema ukienda nchi ambayo hamna mnigeria katika hiyo nchi , basi haifai kwa wewe kuishi humo
 
Nigeria ni Nchi ngumu sana kuishi ndio maana wanakimbia sana Nchi yao...Kkoo Wanigeria kibao
 
Shida wamezaliana kama nguruwe,nchi iko overpopulated
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…