Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
roaming.3. Itakuwaje wa wageni wanakuja TZ na hawana sifa za KWENDA NIDA na hivyo kukosa namna ya kusajili laini?
Kupata tuu passport lazima uwe na kitambulisho cha NIDAKwanini sasa passport isitumike kwa watanzania..?
Kwanini raia wasitumie passport tayari ina alama za kidole? Au passport ya mtanzania siyo kitambulisho tosha?
Kwanini sasa passport isitumike kwa watanzania..?
namba ya NIDA wakikosa wanatumia kitambulisho cha Taifa,Kwani wanazifunga kwa kutumia kamba ya aina gani?
je una uhakika unachokinena?Hafungiwi mtu ila anatumbuliwa mtu
Ndo hapo nionapo wamechemsha... unaanzaje kulazimisha matumizi ya kitambulisho cha taifa wakati hujagawa hicho kitambulisho cha taifa??? Utaratibu wa sms nao ni kujikusanyia hela tu... wachache sana wamefanikiwa kupata namba za NIDA kwa sms....
Cha ajabu kingine ni kuwaKama kitambulisho cha NIDA ni msala hio passport itakuaje jamaa yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na nipigetafu songesha nayo yatakufa, au?Mapesa yata taifishwa yote nini?
nahs hii ktu ni moja kati ya mikakati ya "NEW WORLD ORDER" dunia nzma kutawaliwa na muongozo mmojaJuzi comrade kasema siyo yeye anayelazimisha watu wasajiliwe line zao, bali mfumo wa dunia ndiyo unalazimisha iwe hivyo.
Ogopa sana.