Laini za simu kufungwa, akaunti za pesa kubaki

Laini za simu kufungwa, akaunti za pesa kubaki

Nimeshachoka kulalamika kunung'unika na sasa nimechoka kuandika nasubiri tar20 mteja wa simu yangu ninae tayari.
 
wadaiwa wa Mitandao ya SIMU na wadai wa miliki wa laini je huku mitaani itakuwaje; ghafla mdeni wako hapatikani kwa simu. JE SANDUKU LA POSTA litahusika?
 
Naanza kuilaumu serikali kila mtu then mimi mwenyewe katika suala zima la usajili wa laini, najutia kwanini sisi Watanzania huwa tunakurupukia mambo ambayo hatuyawezi. WACHA WAFUNGE TU!
 
Kama kitambulisho cha NIDA ni msala hio passport itakuaje jamaa yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Cha ajabu kingine ni kuwa
1. Kitambulisha cha taifa
2. Passport
3. Driving licence
4. Kitambulishi cha kupihia kura

Hivyo vyote vina almost info za kufanana.... sijui kwa nini info moja inakusanywa na mamlaka nne za serikali na kila moja ikitumia gharama kulisanya taarifa hizo....

Mfano
Jina, umri, alama za vidole, picha etc
 
Nilivyo pata kitambulisho nilikwenda kusajili laini yangu ya tigo Sasa Leo nakwenda kusajili ya halotel ikagoma namuuliza jamaa kulikoni ananiambia kitambulisho chako kimesha sajili laini tano hivyo huwezi kusajili tena nilibaki kuduaa Kama nimechomwa na miba vile. Niiyombe serekali hili zoezi limesha oza limesha ingiliwa na wajanja wa mjini tufanye utaratibu was kuwazibiti.
 
Back
Top Bottom