Awali passport zilikuwa zinatumika katika huo mfumo '' kwa sasa serikali haikuzihusisha kwa sababu lengo lao kubwa ni kuwapata victims wengi kwaajili ya uchaguzi " na sio vinginevyo .... So kuhusu swali lako hata mimi bado nipo njia Panda nakusubiri wewe unipitie (kidding)
Ilikuwaga kama una I'd ya kupigia kura/ cha taifa or passport basi unafanya tu register .. Ila Tangu waanzishe huu mfumo wa finger print naona passport hawakutaka kuihusisha ...... Hii serikali utendaji wake unashangaza sana
Sent using
Jamii Forums mobile app