Laiti Serikali ingejua yaliyo moyoni mwa nguli wa Riadha Filbert Bayi wasingemkumbatia. Huyu mwamba ndiye muuaji wa vipaji vya riadha Tanzania

Laiti Serikali ingejua yaliyo moyoni mwa nguli wa Riadha Filbert Bayi wasingemkumbatia. Huyu mwamba ndiye muuaji wa vipaji vya riadha Tanzania

Hello!
Moja kwa moja kwenye mada!
Nikiwa O - level nimesoma na mwamba mmoja jamaa alikuwa anakimbia mita 100 kwa sekunde 13-15 tu. Ikumbukwe Bolt alikuwa anakimbilia kwa sekunde 9-10. Huyu wa sekunde 13-15 ni mtoto wa familia maskini, alikuwa mwanafunzi busy na masomo mbio anakimbia kwenye mashindano tu.
Huyu kijana kama atatumia muda wake wote au muda mwingi kupiga tizi sure atafika mbali. Ajabu ni kwamba jamaa hakubahatika hata kufika popote. Viongozi ndio mwiba.
Kijana mwingine wa mbio ndefu jirani yetu kule Lindi miaka kama 10 nyuma aling'ara na aliweza kuvunja rekodi za manguli wa riadha wa Dunia akiwa hapahapa Bongo. Tulitegemea angefika mbali. Kijana akiwa kwenye Kambi kuelekea Olympic huyo niliyemtaja juu akamla kichwa kwa sababu za hapa na pale.
Hofu ni kwamba angevunja rekodi yake na labda angekosa heshima anayoipata sasa .
Serikali vijana hawana pa kusemea dukuduku zao. Mchunguzeni huyu Mzee. Mtanishukuru.
Simbu sasa anang'ara kwakuwa ametokea jeshini hivyo kapata fursa za nje kupitia mgongo wa jeshi na sasa hawezi kumzuia.
Filbert Bayi achunguzwe na ikibainika ni kweli alifanya hujuma yoyote ashitakiwe. Au awekwe pembeni kwa njia ya amani halafu tuone matokeo ya miaka 5 bila yeye.
Hujaeleza anaua vipi vipaji? Weka maelezo kamili!
 
Huyo Bayi sijui Baye nimeanza kumskia miaka mingi sana na sijawahi kuskia watu wakimuongelea kwa mazuri, hivi inashindikana nini kumtoa hapo kwenye huo wadhifa? Ni kwamba hakuna mtu mwingine wa kukaa kwenye hiyo nafaso yake au?
 
Huyo Bayi sijui Baye nimeanza kumskia miaka mingi sana na sijawahi kuskia watu wakimuongelea kwa mazuri, hivi inashindikana nini kumtoa hapo kwenye huo wadhifa? Ni kwamba hakuna mtu mwingine wa kukaa kwenye hiyo nafaso yake au?
Kuna watu wanajuwa kuroga, huwa wanasahaurika kabisa kujadiliwa, hatimaye Bayi naye amefikiwa.
 
Tatizo ni mfumo ndio madudu kama haya yanatokea, nchi za wenzetu wana mashindano ya wazi yaliyo rasmi, ukishinda vigezo vinavyotakiwa kupiga wenzako unapata nafasi ya kuwakilisha, hakuna Cha kujuana wala longo longo ya jeshi au mjomba, halafu vitu vingine ni rahisi sana, kama utaratibu unazingua study then copy and paste system za nchi nyingine wanavyopata wawakilishi wao then chukua inayofaa itumie huku ukiendelea kurekebisha Kwa mazingira yako na mahitaji, hizi ligi zetu za soka zote mfumo wa uendeshaji tume copy England
 
Hello!
Moja kwa moja kwenye mada!
Nikiwa O - level nimesoma na mwamba mmoja jamaa alikuwa anakimbia mita 100 kwa sekunde 13-15 tu. Ikumbukwe Bolt alikuwa anakimbilia kwa sekunde 9-10. Huyu wa sekunde 13-15 ni mtoto wa familia maskini, alikuwa mwanafunzi busy na masomo mbio anakimbia kwenye mashindano tu.

Huyu kijana kama atatumia muda wake wote au muda mwingi kupiga tizi sure atafika mbali. Ajabu ni kwamba jamaa hakubahatika hata kufika popote. Viongozi ndio mwiba.

Soma Pia:
Kijana mwingine wa mbio ndefu jirani yetu kule Lindi miaka kama 10 nyuma aling'ara na aliweza kuvunja rekodi za manguli wa riadha wa Dunia akiwa hapahapa Bongo. Tulitegemea angefika mbali. Kijana akiwa kwenye Kambi kuelekea Olympic huyo niliyemtaja juu akamla kichwa kwa sababu za hapa na pale.

Hofu ni kwamba angevunja rekodi yake na labda angekosa heshima anayoipata sasa .
Serikali vijana hawana pa kusemea dukuduku zao. Mchunguzeni huyu Mzee. Mtanishukuru.
Simbu sasa anang'ara kwakuwa ametokea jeshini hivyo kapata fursa za nje kupitia mgongo wa jeshi na sasa hawezi kumzuia.

Filbert Bayi achunguzwe na ikibainika ni kweli alifanya hujuma yoyote ashitakiwe. Au awekwe pembeni kwa njia ya amani halafu tuone matokeo ya miaka 5 bila yeye.
Nashawishika kukuunga mkono. Una hoja ya msingi
 
Haya mambo Wilhelm gidabuday aliyapigia kelele sana miaka ya nyuma hakuoata kusikilizwa alisema aazi pesa za olimpiki ndio imekuwa chanzo cha utajiri was Bayi yule jamaa no mbinafsi na fisadi LA kutisha.
Nae alihongwa na bayi akafyata mkia, sasa hivi ni chapombe balaaa...bayi akuhongi bure lazima uharibikiwe coz anatumiwa hadi waganga wa kienyeji
 
Back
Top Bottom