Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Hiyo gesi imegundulika lini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kirefu chake nini?Wenyewe wanaita MWASHITA.....
Kuna jamaa Mmoja alileta Uzi humu juu ya hii "MWASHITA".... Nimejaribu kumtag lakini sikumbuki ID yake....
ndyo ulivyo kariri kwa daskam ndy nchiBila ya Daslam, hakuna cha zone wala kanda inayoweza jitegemea kwa nchi hii.
Ndio Ntwara hio ipo lake zone ya kusiniKuna gesi?
Nyumba za UdongoHilo pori halina kitu
Hawo wanatoboa Tena SUNGU SUNGU WA HIYO MIKOA WAKIFIKA DSM NI MAKOMANDO WENYE MABAWA MAWILI KATIKA BALLET YANI WAMEKAMILIKA ukiwacheki na mili inasadifu +Akili Sina mashakaMwanza, Shinyanga, Kagera, Simiyu, Geita, Mara
Hazitoboi
fatilia utajuaHiyo gesi imegundulika lini
Wanatoboa nini ?Pwani wanatoboa vizuri tu
Lake Hindi auNdio Ntwara hio ipo lake zone ya kusini
Gesi ya Ntwara pale imehamishiwa lake zone, ulikua hujui?Hiyo gesi imegundulika lini
Hiyo itakuwa gesi ya soda au inayojaa tumbonifatilia utajua
mkoa maskinikabisa..kabbbisa mkuu!
MaybeGesi ya Ntwara pale imehamishiwa lake zone, ulikua hujui?
Nipo zangu Bujonde nakula mbasa ila wa Daslam wanaamini ndio kila kitu.ndyo ulivyo kariri kwa daskam ndy nchi
well saidHiyo itakuwa gesi ya soda au inayojaa tumboni
Pepsi au 7up?Hiyo itakuwa gesi ya soda au inayojaa tumboni
hawanaga akili waleNipo zangu Bujonde nakula mbasa ila wa Daslam wanaamini ndio kila kitu.
For surewell said
Zone ya kati inaweza kuwa nchiKibongo Bongo hakuna zone yoyote itakayotoboa bila zones zingine, HAKUNA.