Lake Zone ni zone pekee nchini inaweza jitegemea na kuwa nchi

Lake Zone ni zone pekee nchini inaweza jitegemea na kuwa nchi

Wenyewe wanaita MWASHITA.....

Kuna jamaa Mmoja alileta Uzi humu juu ya hii "MWASHITA".... Nimejaribu kumtag lakini sikumbuki ID yake....
Yule jamaa ni mwongo laana... anakuambia hao jamaa wa MWASHITA yaani waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika huko kanda ya ziwa wanamiliki karibu kila biashara kubwa Ulaya zikiwemo timu za mpira kama Bayern... anakuambia Snoop Dog ni member wa MWASHITA anayemiliki shule hapa TZ.
 
Tanga, Kilimanjaro, arusha na manyara hii ndio mikoa inayoweza kuwa nchi na ikajitosheleza kwa kila kitu.
 
Ukitoa maeneo yaliyo karibu na Dar, bc hayo maeneo mengine hazina tofauti na kiwanja chenye mgogoro hakuna kitu kinafanyika.

Achana na hilo jangwa, hata ngamia hawezi kuishi hapo.
Kule mipango ngamia wapo wengi sana
Ranchi ya taifa kongwa ipo huko jangwani
Acha wivu
 
Acheni kuleta hisia za kujitenga, kuna wengine hisia zao ni kanda ya kazkazini, wengine kanda ya kusini. Kwa akili hizi anaweza kuibuka mwehu kutaka eneo fulani la nchi lijitenge kwa dhana ya kuwa ni tajiri, masikini au watu wake hawapewi maendeleo na serikali, ukabila, udini na ukanda. Mentality hizi ni shida kwa taifa
 
Amini kwamba hii zone imebarikiwa kila aina ya rasilimali hata pia idadi ya watu . Ni dhahili kua inaweza kua nchi na kujitegemea
wewe huna cha kuandika hivi hawa wafuga ng'ombe wote ukiwarudisha kwao kutoka pande zote za TZ si itakuwa balaa fikiria kwanza ni washamba hawana wanachojua ni kama magogo itakuwaje
 
Kumekucha,
Ni dalili mmepokea barua ya posa ya M23
 
Kwa akili hizi anaweza kuibuka mwehu kutaka eneo fulani la nchi lijitenge kwa dhana ya kuwa ni tajiri, masikini au watu wake hawapewi maendeleo na serikali, ukabila, udini na ukanda. Mentality hizi ni shida kwa taifa
Mkuu ukiona hivi maana yake kuna watu tayyari wameanza kupandikizwa viini vya utengano toka kwa majirani
 
Mkuu ukiona hivi maana yake kuna watu tayyari wameanza kupandikizwa viini vya utengano toka kwa majirani
yule jamaa jirani ni mpuuzi sana, kafanikiwa congo mashariki kwa banyamulenge kujiona wanatengwa na serikali. Serikali ya huko ikashindwa kudhibiti mentality ya kujitenga eneo la mashariki wakaanzisha uasi mgogoro mkubwa ukaibuka. Sasa kama muhuni huyu akiamua kupandikiza mentality kwa kanda ya ziwa ijione ni kubwa na ina utajiri kuweza kuwa nchi anaweza tu ikiwa system ya nchi ni dhaifu litaibuka jitu la kanda ya ziwa na kuazisha harakati za kujitenga likidai madai mbalimbali na hilo jamaa jirani litaingiza jeshi lake kuwasaidia kanda ya ziwa kujitenga kama linavyofanya congo mashariki. Yule jirani mwingine naye ataingiza jeshi upande ule akidai analinda mipaka yake. Cha kufanya mwanasiasa, mwanadini, mkabila na mkanda yeyote atakayejitokeza kuleta mentality ya kutenga eneo la kanda ya ziwa adhibitiwe mapema
 
Kibongo Bongo hakuna zone yoyote itakayotoboa bila zones zingine, HAKUNA.
Nyingi tu zinaweza jitegemea bila msaada toka nje, ambazo haziwezi ni zile ambazo zipo karibu na zile zinazojiweza na kutegemea kila kitu toka kwa zinazojiweza.

Makao makuu ya kanda nyingi yanaweza kujitegemea kwa kanda husika.
 
yule jamaa jirani ni mpuuzi sana, kafanikiwa congo mashariki kwa banyamulenge kujiona wanatengwa na serikali. Serikali ya huko ikashindwa kudhibiti mentality ya kujitenga eneo la mashariki wakaanzisha uasi mgogoro mkubwa ukaibuka. Sasa kama muhuni huyu akiamua kupandikiza mentality kwa kanda ya ziwa ijione ni kubwa na ina utajiri kuweza kuwa nchi anaweza tu ikiwa system ya nchi ni dhaifu litaibuka jitu la kanda ya ziwa na kuazisha harakati za kujitenga likidai madai mbalimbali na hilo jamaa jirani litaingiza jeshi lake kuwasaidia kanda ya ziwa kujitenga kama linavyofanya congo mashariki. Yule jirani mwingine naye ataingiza jeshi upande ule akidai analinda mipaka yake. Cha kufanya mwanasiasa, mwanadini, mkabila na mkanda yeyote atakayejitokeza kuleta mentality ya kutenga eneo la kanda ya ziwa adhibitiwe mapema
Tuna safari ndefu
 
Back
Top Bottom