drugdealer
Senior Member
- Nov 8, 2024
- 133
- 245
- Thread starter
- #101
wewe wako ni upi?Upuuzi Pro Max.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe wako ni upi?Upuuzi Pro Max.
nayo ni rasilimali.. Nguruwe wanainjoi sanaPumba tu!!!
mbanga za hivi hujikuta zina IQ kubwa sana humunayo ni rasilimali.. Nguruwe wanainjoi sana
Kumekucha Kumekucha KumekuchaAmini kwamba hii zone imebarikiwa kila aina ya rasilimali hata pia idadi ya watu . Ni dhahili kua inaweza kua nchi na kujitegemea
kwani we unasemaje? kuhusu hiloKumekucha Kumekucha Kumekucha
na zile mboyoyo zao?Pwani wanatoboa vizuri tu
Ni Uhakika.....sio uwakika...!! Tafuta data utajua zaidiuna uwakika?
sawa BAKITANi Uhakika.....sio uwakika...!! Tafuta data utajua zaidi
Kizazi sasa mnakibagaza kiswahili mnoo yaani....wameua H zote ....wakenya wanatushinda...sasa...utasikia Akuna...badala Hakuna....ayupo badala Hayupo.....shidaaasawa BAKITA
Mbona sudan ni nchi halafu jangwaniKila mkoa unaweza kuwa nchi na maisha yakasonga.
mhimu mawasiliano yaeleweke hakuna tuzo ya ufasaha wa lughaKizazi sasa mnakibagaza kiswahili mnoo yaani....wameua H zote ....wakenya wanatushinda...sasa...utasikia Akuna...badala Hakuna....ayupo badala Hayupo.....shidaaa
Mboyoyo ganina zile mboyoyo zao?
😂😂😂... Kumbe unakumbuka Uzi wake?... Aisee yule jamaa alikuwa anaandika vitu sijapata kuona....😂😂😂Yule jamaa ni mwongo laana... anakuambia hao jamaa wa MWASHITA yaani waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika huko kanda ya ziwa wanamiliki karibu kila biashara kubwa Ulaya zikiwemo timu za mpira kama Bayern... anakuambia Snoop Dog ni member wa MWASHITA anayemiliki shule hapa TZ.
Mwanza, Shinyanga, Tabora....kirefu chake nini?
😄😄😄 hao MWASHITA wenyewe wakisoma uzi wa jamaa lazima washangae.😂😂😂... Kumbe unakumbuka Uzi wake?... Aisee yule jamaa alikuwa anaandika vitu sijapata kuona....😂😂😂
Uongo mkubwa sana ule!😂😂😄😄😄 hao MWASHITA wenyewe wakisoma uzi wa jamaa lazima washangae.
Inatakiwa iwe MWASHIGETAMASIKA.Wenyewe wanaita MWASHITA.....
Kuna jamaa Mmoja alileta Uzi humu juu ya hii "MWASHITA".... Nimejaribu kumtag lakini sikumbuki ID yake....
🤣🤣🤣🤣 Ndefu mno hiyo.... Ingawa Kati ya hiyo yote imezaliwa kutoka MWASHITAInatakiwa iwe MWASHIGETAMASIKA.
Nakupinga, huyo dsm mwenye hatoboi ht wiki moja bila zone zingine.