Lake Zone ni zone pekee nchini inaweza jitegemea na kuwa nchi

Lake Zone ni zone pekee nchini inaweza jitegemea na kuwa nchi

Kizazi sasa mnakibagaza kiswahili mnoo yaani....wameua H zote ....wakenya wanatushinda...sasa...utasikia Akuna...badala Hakuna....ayupo badala Hayupo.....shidaaa
mhimu mawasiliano yaeleweke hakuna tuzo ya ufasaha wa lugha
 
Yule jamaa ni mwongo laana... anakuambia hao jamaa wa MWASHITA yaani waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika huko kanda ya ziwa wanamiliki karibu kila biashara kubwa Ulaya zikiwemo timu za mpira kama Bayern... anakuambia Snoop Dog ni member wa MWASHITA anayemiliki shule hapa TZ.
😂😂😂... Kumbe unakumbuka Uzi wake?... Aisee yule jamaa alikuwa anaandika vitu sijapata kuona....😂😂😂
 
Back
Top Bottom