gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Halina kitu gani?Hilo pori halina kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halina kitu gani?Hilo pori halina kitu
tumeachaAcheni kuleta hisia za kujitenga, kuna wengine hisia zao ni kanda ya kazkazini, wengine kanda ya kusini. Kwa akili hizi anaweza kuibuka mwehu kutaka eneo fulani la nchi lijitenge kwa dhana ya kuwa ni tajiri, masikini au watu wake hawapewi maendeleo na serikali, ukabila, udini na ukanda. Mentality hizi ni shida kwa taifa
bado unamawazo yakizamani wewe kuwa kanda za ziwa wote ni washambawewe huna cha kuandika hivi hawa wafuga ng'ombe wote ukiwarudisha kwao kutoka pande zote za TZ si itakuwa balaa fikiria kwanza ni washamba hawana wanachojua ni kama magogo itakuwaje
ni mada tu mkuu syo siriazi usiogope hakuna mTanzania mwenye uthubutu wa kuanzisha harakati za kujitenga na hata kupindua nchi hakunayule jamaa jirani ni mpuuzi sana, kafanikiwa congo mashariki kwa banyamulenge kujiona wanatengwa na serikali. Serikali ya huko ikashindwa kudhibiti mentality ya kujitenga eneo la mashariki wakaanzisha uasi mgogoro mkubwa ukaibuka. Sasa kama muhuni huyu akiamua kupandikiza mentality kwa kanda ya ziwa ijione ni kubwa na ina utajiri kuweza kuwa nchi anaweza tu ikiwa system ya nchi ni dhaifu litaibuka jitu la kanda ya ziwa na kuazisha harakati za kujitenga likidai madai mbalimbali na hilo jamaa jirani litaingiza jeshi lake kuwasaidia kanda ya ziwa kujitenga kama linavyofanya congo mashariki. Yule jirani mwingine naye ataingiza jeshi upande ule akidai analinda mipaka yake. Cha kufanya mwanasiasa, mwanadini, mkabila na mkanda yeyote atakayejitokeza kuleta mentality ya kutenga eneo la kanda ya ziwa adhibitiwe mapema
Utafiti wa TPDC ulionesha dalili za kuwepo mafuta upo mkubwaKuna gesi?
mwambie aeleweUtafiti wa TPDC ulionesha dalili za kuwepo mafuta upo mkubwa
una uwakika?Dar iko mbalo sanaaa mnooo 98% makusanyo yanatoka dar......
upo sahihiTutamuomba mzalendo wa afrika kagame aimege Kanda ya ziwa yote tuwe sehemu ya Rwanda.Tuachane na Hawa wasiojitambua ccm ambao wameletanumasikini uliokithiri Kwa miaka 64 ya utawala wao
Unasema?Tutamuomba mzalendo wa afrika kagame aimege Kanda ya ziwa yote tuwe sehemu ya Rwanda.Tuachane na Hawa wasiojitambua ccm ambao wameletanumasikini uliokithiri Kwa miaka 64 ya utawala wao
Naona mahimaAmini kwamba hii zone imebarikiwa kila aina ya rasilimali hata pia idadi ya watu . Ni dhahili kua inaweza kua nchi na kujitegemea
HahahaaaaaaTutamuomba mzalendo wa afrika kagame aimege Kanda ya ziwa yote tuwe sehemu ya Rwanda.Tuachane na Hawa wasiojitambua ccm ambao wameletanumasikini uliokithiri Kwa miaka 64 ya utawala wao
Elewa neno hakuna ....Pwani wanatoboa vizuri tu
Hapana.wanyarwanda hatufinyiki.Tumejipenyeza Hadi Kwa watoa maamuziUnasema?
Wanyarwanda mpo wengi sana Tanzania, kuna siku mtafinywa na hamtaamini..
Kanda ya pwani (Dar, pwani na morogoro) haiwezi kujitegemea?Kibongo Bongo hakuna zone yoyote itakayotoboa bila zones zingine, HAKUNA.
Haina dudesKanda ya pwani (Dar, pwani na morogoro) haiwezi kujitegemea?
Kaskazini Tanga, Kimanjaro, Arusha, ManyaraKibongo Bongo hakuna zone yoyote itakayotoboa bila zones zingine, HAKUNA.
kwahyo shida itakua ni nini kwanin Tz inakosa maendeleo ? unaposema hiyo mikoa ikijitenga itafika mbali baada ya miaka ishiriniKaskazini Tanga, Kimanjaro, Arusha, Manyara
Ikiwa nchi ndani miaka 20 itakuwa nchi yenye maendeleo makubwa.