Lake Zone ni zone pekee nchini inaweza jitegemea na kuwa nchi

Baada ya mvua moja tu kutonyesha Burundi itakuwa angalau
 
Unatoa mbwa wewee,ingekua hyo Lindi na Mtwara zingekua nchi now
 
Tofautisha kati ya mikoa ya pwani na kanda ya Pwani. Kanda ya pwani ina mikoa 3 pekee ambayo ni Dar, Pwani na Morogoro
Morogoro siyo pwani,halafu umoja ni ukanda,kwamba tanga,lindi na mtwara siyo ukanda wa pwani, ndiyo mnavyofundishwa hivyo siku hizi?
 
wewe huna cha kuandika hivi hawa wafuga ng'ombe wote ukiwarudisha kwao kutoka pande zote za TZ si itakuwa balaa fikiria kwanza ni washamba hawana wanachojua ni kama magogo itakuwaje
Wewe jamaa ni kummer kweli unaandika ussenge mtupu na hicho kichwa chako kimejaa utoko, hauna akili hata kidogo umejawa na madharau tu...

Hivi umewahi hata kufika huko kwa hao unaowaita wachunga ng'ombe ukajionea maisha yao na ukathibitisha kuwa hawawezi kuishi bila nyie wengine? Kwanza nyie wengine mna faida gani kwao zaidi ya madharau ya kipumbavu kama haya unayoyaonesha hapa?
 
Tanga, Kilimanjaro, arusha na manyara hii ndio mikoa inayoweza kuwa nchi na ikajitosheleza kwa kila kitu.
Ukimtoa manyara wanaobaki watakufa kifo cha mende hawana jipya
 
Mara nyingi mpasuko wa nchi yoyote huwa unaanzia kwenye migogoro/hali ya kutoolewana ndani kwa ndani, na hii huwa ni pale watu wa kanda fulani au jamii fulani kuwadharau wengine au kujiona wao ni watu wa daraja la juu kuliko wengine na hatimae kuzaa upendeleo kwenye huduma za kijamii.

Yugoslavia ilipasuka kwa sababu watu waliokuwa wanatoka Serbia walikuwa wanapendelewa na serikali wakati huo watu kutoka Croatia,slovenia,montenegro na macedonia wakijihisi kuwa margjnalized na hapo ndio vugu vugu lilipotoka, wakachapana sana hatimae kila mtu akaenda kivyake.

Hili mpasuko au utengano usitokee sululisho ni kuheshimiana na kudumisha umoja, sasa nikiangalia hapa bongo kuna watu huwa wanajifanya wao ndio wajanja watoto wa mjini huku wakiwadharau wengine hii sio nzuri kwa ustawi wa taifa.
 
lakini ujumbe umefika nyinyi ni magogo tuu hamna kitu ndio maana raia wa kigeni wamejaa huko
 
lakini ujumbe umefika nyinyi ni magogo tuu hamna kitu ndio maana raia wa kigeni wamejaa huko
Ujumbe gani mjinga wewe, hicho kichwa chako kimejaa utoko badala ya ubongo fala wewe.

Endelea na madharau yako mbaguzi mkubwa wewe inavyoonekana uko kwenu umelelewa na makahaba ya dar ambapo yamekufundisha kudharau watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…