Zero 2 Hero
JF-Expert Member
- Dec 16, 2012
- 532
- 1,072
Tofautisha kati ya mikoa ya pwani na kanda ya Pwani. Kanda ya pwani ina mikoa 3 pekee ambayo ni Dar, Pwani na MorogoroPwani ni tanga,pwani,dar,lindi, mtwara,hawatoboi kivipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofautisha kati ya mikoa ya pwani na kanda ya Pwani. Kanda ya pwani ina mikoa 3 pekee ambayo ni Dar, Pwani na MorogoroPwani ni tanga,pwani,dar,lindi, mtwara,hawatoboi kivipi?
Ndio nn hicho?Haina dudes
Hii nikwel kwanza wamestarabikaKanda ya Pwani ikiunda nchi ya peke yake miezi miwili tu inakuwa kama South Africa
For sureHii nikwel kwanza wamestarabika
Morogoro siyo pwani,halafu umoja ni ukanda,kwamba tanga,lindi na mtwara siyo ukanda wa pwani, ndiyo mnavyofundishwa hivyo siku hizi?Tofautisha kati ya mikoa ya pwani na kanda ya Pwani. Kanda ya pwani ina mikoa 3 pekee ambayo ni Dar, Pwani na Morogoro
Wewe jamaa ni kummer kweli unaandika ussenge mtupu na hicho kichwa chako kimejaa utoko, hauna akili hata kidogo umejawa na madharau tu...wewe huna cha kuandika hivi hawa wafuga ng'ombe wote ukiwarudisha kwao kutoka pande zote za TZ si itakuwa balaa fikiria kwanza ni washamba hawana wanachojua ni kama magogo itakuwaje
Ukimtoa manyara wanaobaki watakufa kifo cha mende hawana jipyaTanga, Kilimanjaro, arusha na manyara hii ndio mikoa inayoweza kuwa nchi na ikajitosheleza kwa kila kitu.
Mara nyingi mpasuko wa nchi yoyote huwa unaanzia kwenye migogoro/hali ya kutoolewana ndani kwa ndani, na hii huwa ni pale watu wa kanda fulani au jamii fulani kuwadharau wengine au kujiona wao ni watu wa daraja la juu kuliko wengine na hatimae kuzaa upendeleo kwenye huduma za kijamii.yule jamaa jirani ni mpuuzi sana, kafanikiwa congo mashariki kwa banyamulenge kujiona wanatengwa na serikali. Serikali ya huko ikashindwa kudhibiti mentality ya kujitenga eneo la mashariki wakaanzisha uasi mgogoro mkubwa ukaibuka. Sasa kama muhuni huyu akiamua kupandikiza mentality kwa kanda ya ziwa ijione ni kubwa na ina utajiri kuweza kuwa nchi anaweza tu ikiwa system ya nchi ni dhaifu litaibuka jitu la kanda ya ziwa na kuazisha harakati za kujitenga likidai madai mbalimbali na hilo jamaa jirani litaingiza jeshi lake kuwasaidia kanda ya ziwa kujitenga kama linavyofanya congo mashariki. Yule jirani mwingine naye ataingiza jeshi upande ule akidai analinda mipaka yake. Cha kufanya mwanasiasa, mwanadini, mkabila na mkanda yeyote atakayejitokeza kuleta mentality ya kutenga eneo la kanda ya ziwa adhibitiwe mapema
Kwanini umtoe, ndio maana lazima utafute maeneo ambayo ni potentialUkimtoa manyara wanaobaki watakufa kifo cha mende hawana jipya
lakini ujumbe umefika nyinyi ni magogo tuu hamna kitu ndio maana raia wa kigeni wamejaa hukoWewe jamaa ni kummer kweli unaandika ussenge mtupu na hicho kichwa chako kimejaa utoko, hauna akili hata kidogo umejawa na madharau tu...
Hivi umewahi hata kufika huko kwa hao unaowaita wachunga ng'ombe ukajionea maisha yao na ukathibitisha kuwa hawawezi kuishi bila nyie wengine? Kwanza nyie wengine mna faida gani kwao zaidi ya madharau ya kipumbavu kama haya unayoyaonesha hapa?
Ujumbe gani mjinga wewe, hicho kichwa chako kimejaa utoko badala ya ubongo fala wewe.lakini ujumbe umefika nyinyi ni magogo tuu hamna kitu ndio maana raia wa kigeni wamejaa huko
Mzunguko ni mdogo sanaaAmini kwamba hii zone imebarikiwa kila aina ya rasilimali hata pia idadi ya watu . Ni dhahili kua inaweza kua nchi na kujitegemea
endelea kuamini ivyo ila kanda ya ziwa inajitosherezaMzunguko ni mdogo sanaa
Nimezaliwa huko Nina nyumba yangu..mwanza mjini zingatia neno nyumba sio kupanga matofali nieleweke ivyo.endelea kuamini ivyo ila kanda ya ziwa inajitoshereza
mzunguko upo vile tu jicho lako halijaonaNimezaliwa huko Nina nyumba yangu..mwanza mjini zingatia neno nyumba sio kupanga matofali nieleweke ivyo.
Hapo mwanza urban...utanidanganya Nini nisicho kijua
Karibu dasalama ☺️😊mzunguko upo vile tu jicho lako halijaona