Lakini kusema ukweli Zuhura hakutosha ile nafasi! Kitu pekee aliongeza ni Press tu, kwenye Branding alifeli

Lakini kusema ukweli Zuhura hakutosha ile nafasi! Kitu pekee aliongeza ni Press tu, kwenye Branding alifeli

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Ukifuatilia kwa siku kadhaa tangu Rais aende Korea Kusini, Idara ya Mawasiliano ya Rais haikuwa ikifanya kazi yake ipasavyo hasa kwa taarifa muhimu za kuja Tanzania. Hata mkanganyiko uliotokea VOA ulitokana na kusuasuaa kwa kitengo cha propaganda kwenye mawasiliano kati ya Ratiba za Mama na Media

Mpaka media zinaamua kuandika chochote maana yake hakuna Taarifa sahihi kwa wakati sahihi.

Tuachane na hilo. Zuhura hakuna alichobadili kwenye sura ya mawasiliano, kuanzia Barua za Ikulu, Quality ya Picha, Video za Rais kuna wakati alienda Live akakosea na kusikika akisema kata ni dhahiri hakukuwa na maandalizi mazuri.

Pia, kuna wakati kwenye matukio ya live, team yake ilikuwa inasuasua kwamba media zinakuwa mbele kuripoti matukio kabla ya timu ya comms ya Rais.

Angalia Page ya Ikulu kupitia X (Twitter) hadi leo inaitwa Ikulumawasliano badala ya Mawasiliano (ingeweza hata kuwa Ikulu_Tanzania, StateHouseTZ, IkuluHouseTZ, IkuluTZA, IkuluPress au zaidi, hata handles za tu social media walikwamba kuziunda. (Ushamba na Zero Creativity).

Kwanini walishindwa hata kumwanzishia Rais Hotuba hata za every 2 Weeks au kila wiki kuongelea lolote? Ilifika kipindi mkuu wa kaya anakaa hadi mwezi hayuko kwenye press matokeo yake hadi rumors za ajabu zinaibuka.

Kimsingi hakuwa strategically smart kwenye kudeal na masuala ya Media kiujumla. Nadhani kufanya kazi BBC haikuwa sifa muhimu kwenye uteuzi wake. Ile nafasi inahitaji mtu anayecheza na speed ya vitu na asiyepuuza jambo lolote.

Naweza sema kwa sasa ile nafasi inahitaji watu kama Taji Liundi, Godwin Gondwe au Mobhare Matinyi

Anyway amekula teuzi nadhani ni nafasi ya asante ila hakuiweza ile nafasi.

20240606_222331.jpg
20240606_222333.jpg
20240606_222334.jpg
20240606_222336.jpg
 
Ukifuatilia kwa siku kadhaa tangu Rais aende Korea Kusini, Idara ya Mawasiliano ya Rais haikuwa ikifanya kazi yake ipasavyo hasa kwa taarifa muhimu za kuja Tanzania. Hata mkanganyiko uliotokea VOA ulitokana na kusuasuaa kwa kitengo cha propaganda kwenye mawasiliano kati ya Ratiba za Mama na Media

Mpaka media zinaamua kuandika chochote maana yake hakuna Taarifa sahihi kwa wakati sahihi.

Tuachane na hilo. Zuhura hakuna alichobadili kwenye sura ya mawasiliano, kuanzia Barua za Ikulu, Quality ya Picha, Video za Rais kuna wakati alienda Live akakosea na kusikika akisema kata ni dhahiri hakukuwa na maandalizi mazuri.

Pia, kuna wakati kwenye matukio ya live, team yake ilikuwa inasuasua kwamba media zinakuwa mbele kuripoti matukio kabla ya timu ya comms ya Rais.

Angalia Page ya Ikulu kupitia X (Twitter) hadi leo inaitwa Ikulumawasliano badala ya Mawasiliano (ingeweza hata kuwa Ikulu_Tanzania, StateHouseTZ, IkuluHouseTZ, IkuluTZA, IkuluPress au zaidi, hata handles za tu social media walikwamba kuziunda. (Ushamba na Zero Creativity).

Kwanini walishindwa hata kumwanzishia Rais Hotuba hata za every 2 Weeks au kila wiki kuongelea lolote? Ilifika kipindi mkuu wa kaya anakaa hadi mwezi hayuko kwenye press matokeo yake hadi rumors za ajabu zinaibuka.

Kimsingi hakuwa strategically smart kwenye kudeal na masuala ya Media kiujumla. Nadhani kufanya kazi BBC haikuwa sifa muhimu kwenye uteuzi wake. Ile nafasi inahitaji mtu anayecheza na speed ya vitu na asiyepuuza jambo lolote.

Naweza sema kwa sasa ile nafasi inahitaji watu kama Taji Liundi, Godwin Gondwe au Mobhare Matinyi

Anyway amekula teuzi nadhani ni nafasi ya asante ila hakuiweza ile nafasi.

View attachment 3010629View attachment 3010630View attachment 3010631View attachment 3010632
Namkubali Zuhura sana ila alifeli kiukweli. Ziara ya Mama Korea imegeuka mwiba kwa Rais na taasisi yake.
 
Angalia Page ya Ikulu kupitia X (Twitter) hadi leo inaitwa Ikulumawasliano badala ya Mawasiliano (ingeweza hata kuwa Ikulu_Tanzania, StateHouseTZ, IkuluHouseTZ, IkuluTZA, IkuluPress au zaidi, hata handles za tu social media walikwamba kuziunda. (Ushamba na Zero Creativity).
Hapa umezidisha sasa na ww, kwan angebadilisha username ndio ingekuwa ufanisi kwa kazi yake.?
 
Nimekaa ikulu enzi za JK na najua ugumu wa kazi hii. Kwanza, huwezi kujenga "brand" ya rais ambaye hana "brand". Mamlaka ya nafasi ya mkurugenzi hayati nafasi kusoma hotuba zote za rais, kushirikishwa kwenye maamuzi ya mikutano ambayo rais anatakiwa kwenda na kushauri aseme nini n.k. Halafu hupati access na rais wakati wote kama ilivyo Kenya, Afrika ya Kusini na Marekani. Hakuna pesa ya kuajiri watu unaowataka. Kazi yako kubwa ni kufanya kazi ya U-MC. Salva aliheshimika kutokana na utu uzima lakini Zuhura ni mwanamke na kila mtu alitaka atoe maelekezo kwake namna ya kufanya kazi kwa kuwa kila mtu anafikiri kazi hiyo ni nyepesi. Samia atamweka Bakari lakini hawezi kupata mtu "aggressive" kama Zuhura. Ni lazima pia uelewane na rais kama Magufuli na Msigwa au Salva na Kikwete. Samia ataangaika kupata mtu sahihi. Bakari anapenda kukaa kwenye kiyoyozi, si mtu wa kuchakarika. Zuhura hajakulia kwenye mfumo na yeye alitaka kufanya kazi kama sekta binafsi ambalo ndilo kosa lake kubwa.
 
Nimekaa ikulu enzi za JK na najua ugumu wa kazi hii. Kwanza, huwezi kujenga "brand" ya rais ambaye hana "brand". Mamlaka ya nafasi ya mkurugenzi hayati nafasi kusoma hotuba zote za rais, kushirikishwa kwenye maamuzi ya mikutano ambayo rais anatakiwa kwenda na kushauri aseme nini n.k. Halafu hupati access na rais wakati wote kama ilivyo Kenya, Afrika ya Kusini na Marekani. Hakuna pesa ya kuajiri watu unaowataka. Kazi yako kubwa ni kufanya kazi ya U-MC. Salva aliheshimika kutokana na utu uzima lakini Zuhura ni mwanamke na kila mtu alitaka atoe maelekezo kwake namna ya kufanya kazi kwa kuwa kila mtu anafikiri kazi hiyo ni nyepesi. Samia atamweka Bakari lakini hawezi kupata mtu "aggressive" kama Zuhura. Ni lazima pia uelewane na rais kama Magufuli na Msigwa au Salva na Kikwete. Samia ataangaika kupata mtu sahihi. Bakari anapenda kukaa kwenye kiyoyozi, si mtu wa kuchakarika. Zuhura hajakulia kwenye mfumo na yeye alitaka kufanya kazi kama sekta binafsi ambalo ndilo kosa lake kubwa.
Hapo itabidi wamrudishe Mzee wa Ufafanuzi, Gerson Msigwa. Ndio alijaribu kumbrand Mama kupitia uchawa, mitandaoni na kwenye mpira kuanzisha goli la Mama.




Au Wamweke Makonda mzee wa KIKI.



Ila tuongee ukweli, kwa hali halisi ya ugumu wa maisha huyu bitozo unambrandije? 🤣🤣
 
Zuhura hakufanya kazi yake kama inavyompasa, Kurugenzi ya habari Ikulu ilikuwa inashindwa kujibu hoja za wazi wazi za wananchi.
Kuna wakati tulikuwa tunasubiri kauli ya rais ili kujibu sintofahamu za umeme.
Rais alikuwa kimya na kurugenzi ya mawasiliano haikujitokeza.
Tulikuwa tunadanganywa na mawaziri mara umeme utapatikana januari mosi, mara mwezi march.
Wananchi walitaka kujua chanzo cha tatizo ni nini, uhaba wa umeme au ubovu wa miundombinu?
Rais atafute mtu makini atakayemsaidia.
Jafar Haniu na Zuhura wote hawakuwa na uwezo.
Kufanyakazi BBC au DW siyo kigezo cha uwezo wa kazi hiyo, Salva Rweyemamu amefanyia Uhuru na Habari Corporation lakini alijitahidi kuzibeba changamoto za wakati wake.
 
Ukifuatilia kwa siku kadhaa tangu Rais aende Korea Kusini, Idara ya Mawasiliano ya Rais haikuwa ikifanya kazi yake ipasavyo hasa kwa taarifa muhimu za kuja Tanzania. Hata mkanganyiko uliotokea VOA ulitokana na kusuasuaa kwa kitengo cha propaganda kwenye mawasiliano kati ya Ratiba za Mama na Media

Mpaka media zinaamua kuandika chochote maana yake hakuna Taarifa sahihi kwa wakati sahihi.

Tuachane na hilo. Zuhura hakuna alichobadili kwenye sura ya mawasiliano, kuanzia Barua za Ikulu, Quality ya Picha, Video za Rais kuna wakati alienda Live akakosea na kusikika akisema kata ni dhahiri hakukuwa na maandalizi mazuri.

Pia, kuna wakati kwenye matukio ya live, team yake ilikuwa inasuasua kwamba media zinakuwa mbele kuripoti matukio kabla ya timu ya comms ya Rais.

Angalia Page ya Ikulu kupitia X (Twitter) hadi leo inaitwa Ikulumawasliano badala ya Mawasiliano (ingeweza hata kuwa Ikulu_Tanzania, StateHouseTZ, IkuluHouseTZ, IkuluTZA, IkuluPress au zaidi, hata handles za tu social media walikwamba kuziunda. (Ushamba na Zero Creativity).

Kwanini walishindwa hata kumwanzishia Rais Hotuba hata za every 2 Weeks au kila wiki kuongelea lolote? Ilifika kipindi mkuu wa kaya anakaa hadi mwezi hayuko kwenye press matokeo yake hadi rumors za ajabu zinaibuka.

Kimsingi hakuwa strategically smart kwenye kudeal na masuala ya Media kiujumla. Nadhani kufanya kazi BBC haikuwa sifa muhimu kwenye uteuzi wake. Ile nafasi inahitaji mtu anayecheza na speed ya vitu na asiyepuuza jambo lolote.

Naweza sema kwa sasa ile nafasi inahitaji watu kama Taji Liundi, Godwin Gondwe au Mobhare Matinyi

Anyway amekula teuzi nadhani ni nafasi ya asante ila hakuiweza ile nafasi.

View attachment 3010629View attachment 3010630View attachment 3010631View attachment 3010632
serikali inapenda wasemaji kama mifano ya yanga na simba wale wasemaji
 
Nimekaa ikulu enzi za JK na najua ugumu wa kazi hii. Kwanza, huwezi kujenga "brand" ya rais ambaye hana "brand". Mamlaka ya nafasi ya mkurugenzi hayati nafasi kusoma hotuba zote za rais, kushirikishwa kwenye maamuzi ya mikutano ambayo rais anatakiwa kwenda na kushauri aseme nini n.k. Halafu hupati access na rais wakati wote kama ilivyo Kenya, Afrika ya Kusini na Marekani. Hakuna pesa ya kuajiri watu unaowataka. Kazi yako kubwa ni kufanya kazi ya U-MC. Salva aliheshimika kutokana na utu uzima lakini Zuhura ni mwanamke na kila mtu alitaka atoe maelekezo kwake namna ya kufanya kazi kwa kuwa kila mtu anafikiri kazi hiyo ni nyepesi. Samia atamweka Bakari lakini hawezi kupata mtu "aggressive" kama Zuhura. Ni lazima pia uelewane na rais kama Magufuli na Msigwa au Salva na Kikwete. Samia ataangaika kupata mtu sahihi. Bakari anapenda kukaa kwenye kiyoyozi, si mtu wa kuchakarika. Zuhura hajakulia kwenye mfumo na yeye alitaka kufanya kazi kama sekta binafsi ambalo ndilo kosa lake kubwa.
Mkuu uko sahihi 👍
 
Kwani huko nchini kuna ambaye anatosha? na anatosha kwenye lipi hasa? kimsingi taifa liko njiapanda na wala hamna la maana linaloendelea kama huyo Rais mwenyewe anahangaika kutwaaa kuombaomba na kuhudhuria matamasha ya wavuta bangi kina Harmonize unategemea kuna kitu serious hapo?
 
Waweke mfumo ambao utailindi taasisi ya urais kujibu hoja za wananchi na wapinzani ili kumlinda rais na hayo mnayoyadai, au msemaji mkuu wa serikali awe aidha chini ya PM au awe na mamlaka ya kuzungumza na kujibu hoja zote zinazopelekwa dhidi yao, hii itafanya kurugenzi ya mawasiliano isiwe na mambo mengi ya kufanya kiasi cha kuzidiwa kwenye utekelezaji.

Kazi ya ikulu mawasiliano itakuwa ni kubrand taasisi husika kwa wadau wake (wananchi).
 
Hiyo nafasi sisi Tunashauri ampe bab levo na mwijaku maana hii nchi kwa sasa haitaki Watu wenye akili kubwa. Inahitaji watu wajinga wajinga wa hovyo hovyo na ndio wanaopendwa na watu huko kwa mainstream media na social media.

Ujinga wa mtu kwa sasa ndio content nzuri kwenye media zote hadi TBC. ifike mahali sasa BABA LEVO NA MWIJAKU AU DOTO MAGARI WAPEWE HICHO KITENGO KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU, HATA IKIMPENDEZA MHESHIMIWA RAIS WETU KIPENZI AMTEUE HATA MANARA.

KAZI YANGU DALALI NI KUDALALIA TU. ZUHURA HAKUZOEA KUYUMBISHA AU KUSEMA UONGO
 
Back
Top Bottom