Lakini kusema ukweli Zuhura hakutosha ile nafasi! Kitu pekee aliongeza ni Press tu, kwenye Branding alifeli

Lakini kusema ukweli Zuhura hakutosha ile nafasi! Kitu pekee aliongeza ni Press tu, kwenye Branding alifeli

Wanadhani ukishakua BBc au DW..basi ww ni mbobevu...
 
Unasema hayo kwa kuwa hujui namna serikali inavyofanya kazi. Msemaji wa Ikulu hana mamlaka ya kuongelea kuhusu matatizo ya umeme wala kujibu hoja za ujumla za wananchi wakati mawaziri wa sekta na makatibu wakuu wapo. Msemaji mkuu wa wizara ni katibu mkuu akisaidiwa na msemaji wa wizara, siyo mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu. Msemaji wa serikali anaweza kusaidia wizara hizi kutoa ufanunuzi lakini nafasi ya mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu haitoi fursa hiyo. Kwa miaka mingi tumeshauri kuwepo mabadiliko ya muundano wa kutoa taarifa wa serikali lakini mapendekezo yote yamedharauliwa.
Sasa tuone kama kuondoka kwa Zuhura kutapelekea Samia kuacha kushambuliwa au msemaji ajaye ataweza kumtetea.
Mkuu nimekuelewa asante.
 
Hakuna kazi rahisi, ila kazi ya media inachangamoto sana, inahitaji mtu anayezijua propaganda haswa...


Cc: Mahondaw
 
Back
Top Bottom