Lakini kusema ukweli Zuhura hakutosha ile nafasi! Kitu pekee aliongeza ni Press tu, kwenye Branding alifeli

Lakini kusema ukweli Zuhura hakutosha ile nafasi! Kitu pekee aliongeza ni Press tu, kwenye Branding alifeli

Hiyo nafasi sisi Tunashauri ampe bab levo na mwijaku maana hii nchi kwa sasa haitaki Watu wenye akili kubwa. Inahitaji watu wajinga wajinga wa hovyo hovyo na ndio wanaopendwa na watu huko kwa mainstream media na social media.

Ujinga wa mtu kwa sasa ndio content nzuri kwenye media zote hadi TBC. ifike mahali sasa BABA LEVO NA MWIJAKU AU DOTO MAGARI WAPEWE HICHO KITENGO KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU, HATA IKIMPENDEZA MHESHIMIWA RAIS WETU KIPENZI AMTEUE HATA MANARA.

KAZI YANGU DALALI NI KUDALALIA TU. ZUHURA HAKUZOEA KUYUMBISHA AU KUSEMA UONGO
Kile kitengo kinafaa watu waliokubuhu kwenye propaganda
 
Labda kuna mtu atuwekee Jd's za hiyo kazi ili tupime alitosha au hakutosha.

Kumbrand Rais? Ni kazi ya CCM kumbrand mwenyekiti wao ili achaguliwe muhula mwingine na apeperushe benders yao uchaguzi mkuu.
 
Ukifuatilia kwa siku kadhaa tangu Rais aende Korea Kusini, Idara ya Mawasiliano ya Rais haikuwa ikifanya kazi yake ipasavyo hasa kwa taarifa muhimu za kuja Tanzania. Hata mkanganyiko uliotokea VOA ulitokana na kusuasuaa kwa kitengo cha propaganda kwenye mawasiliano kati ya Ratiba za Mama na Media

Mpaka media zinaamua kuandika chochote maana yake hakuna Taarifa sahihi kwa wakati sahihi.

Tuachane na hilo. Zuhura hakuna alichobadili kwenye sura ya mawasiliano, kuanzia Barua za Ikulu, Quality ya Picha, Video za Rais kuna wakati alienda Live akakosea na kusikika akisema kata ni dhahiri hakukuwa na maandalizi mazuri.

Pia, kuna wakati kwenye matukio ya live, team yake ilikuwa inasuasua kwamba media zinakuwa mbele kuripoti matukio kabla ya timu ya comms ya Rais.

Angalia Page ya Ikulu kupitia X (Twitter) hadi leo inaitwa Ikulumawasliano badala ya Mawasiliano (ingeweza hata kuwa Ikulu_Tanzania, StateHouseTZ, IkuluHouseTZ, IkuluTZA, IkuluPress au zaidi, hata handles za tu social media walikwamba kuziunda. (Ushamba na Zero Creativity).

Kwanini walishindwa hata kumwanzishia Rais Hotuba hata za every 2 Weeks au kila wiki kuongelea lolote? Ilifika kipindi mkuu wa kaya anakaa hadi mwezi hayuko kwenye press matokeo yake hadi rumors za ajabu zinaibuka.

Kimsingi hakuwa strategically smart kwenye kudeal na masuala ya Media kiujumla. Nadhani kufanya kazi BBC haikuwa sifa muhimu kwenye uteuzi wake. Ile nafasi inahitaji mtu anayecheza na speed ya vitu na asiyepuuza jambo lolote.

Naweza sema kwa sasa ile nafasi inahitaji watu kama Taji Liundi, Godwin Gondwe au Mobhare Matinyi

Anyway amekula teuzi nadhani ni nafasi ya asante ila hakuiweza ile nafasi.

View attachment 3010629View attachment 3010630View attachment 3010631View attachment 3010632
Mteuzi alipata urais kwa upendeleo (sio kwa uwezo) naye akamteua Yunus kwa kuangalia jinsia na sio uwezo.

Wote wana uwezo duni.
 
Msimlaumu zuhura,,hakuna kitu kigumu kama kupromoti bidhaa mbovu sokoni. Kama huna C tatu hutaelewa.
 
Namshauri mama amteue semaji la simba arithi nafasi ya zuhura. Hili semaji la simba litafaa sana kama lengo ni kuchonga uongo uwe ukweli.
Ila tuache uongo, kudos kwake zuhura kwa ku-englishsize ikulu na zile "Pless lirease" zake za kimombo safi.
 
Zuhura hakufanya kazi yake kama inavyompasa, Kurugenzi ya habari Ikulu ilikuwa inashindwa kujibu hoja za wazi wazi za wananchi.
Kuna wakati tulikuwa tunasubiri kauli ya rais ili kujibu sintofahamu za umeme.
Rais alikuwa kimya na kurugenzi ya mawasiliano haikujitokeza.
Tulikuwa tunadanganywa na mawaziri mara umeme utapatikana januari mosi, mara mwezi march.
Wananchi walitaka kujua chanzo cha tatizo ni nini, uhaba wa umeme au ubovu wa miundombinu?
Rais atafute mtu makini atakayemsaidia.
Jafar Haniu na Zuhura wote hawakuwa na uwezo.
Kufanyakazi BBC au DW siyo kigezo cha uwezo wa kazi hiyo, Salva Rweyemamu amefanyia Uhuru na Habari Corporation lakini alijitahidi kuzibeba changamoto za wakati wake.
Unasema hayo kwa kuwa hujui namna serikali inavyofanya kazi. Msemaji wa Ikulu hana mamlaka ya kuongelea kuhusu matatizo ya umeme wala kujibu hoja za ujumla za wananchi wakati mawaziri wa sekta na makatibu wakuu wapo. Msemaji mkuu wa wizara ni katibu mkuu akisaidiwa na msemaji wa wizara, siyo mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu. Msemaji wa serikali anaweza kusaidia wizara hizi kutoa ufanunuzi lakini nafasi ya mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu haitoi fursa hiyo. Kwa miaka mingi tumeshauri kuwepo mabadiliko ya muundano wa kutoa taarifa wa serikali lakini mapendekezo yote yamedharauliwa.
Sasa tuone kama kuondoka kwa Zuhura kutapelekea Samia kuacha kushambuliwa au msemaji ajaye ataweza kumtetea.
 
Ukifuatilia kwa siku kadhaa tangu Rais aende Korea Kusini, Idara ya Mawasiliano ya Rais haikuwa ikifanya kazi yake ipasavyo hasa kwa taarifa muhimu za kuja Tanzania. Hata mkanganyiko uliotokea VOA ulitokana na kusuasuaa kwa kitengo cha propaganda kwenye mawasiliano kati ya Ratiba za Mama na Media

Mpaka media zinaamua kuandika chochote maana yake hakuna Taarifa sahihi kwa wakati sahihi.

Tuachane na hilo. Zuhura hakuna alichobadili kwenye sura ya mawasiliano, kuanzia Barua za Ikulu, Quality ya Picha, Video za Rais kuna wakati alienda Live akakosea na kusikika akisema kata ni dhahiri hakukuwa na maandalizi mazuri.

Pia, kuna wakati kwenye matukio ya live, team yake ilikuwa inasuasua kwamba media zinakuwa mbele kuripoti matukio kabla ya timu ya comms ya Rais.

Angalia Page ya Ikulu kupitia X (Twitter) hadi leo inaitwa Ikulumawasliano badala ya Mawasiliano (ingeweza hata kuwa Ikulu_Tanzania, StateHouseTZ, IkuluHouseTZ, IkuluTZA, IkuluPress au zaidi, hata handles za tu social media walikwamba kuziunda. (Ushamba na Zero Creativity).

Kwanini walishindwa hata kumwanzishia Rais Hotuba hata za every 2 Weeks au kila wiki kuongelea lolote? Ilifika kipindi mkuu wa kaya anakaa hadi mwezi hayuko kwenye press matokeo yake hadi rumors za ajabu zinaibuka.

Kimsingi hakuwa strategically smart kwenye kudeal na masuala ya Media kiujumla. Nadhani kufanya kazi BBC haikuwa sifa muhimu kwenye uteuzi wake. Ile nafasi inahitaji mtu anayecheza na speed ya vitu na asiyepuuza jambo lolote.

Naweza sema kwa sasa ile nafasi inahitaji watu kama Taji Liundi, Godwin Gondwe au Mobhare Matinyi

Anyway amekula teuzi nadhani ni nafasi ya asante ila hakuiweza ile nafasi.

View attachment 3010629View attachment 3010630View attachment 3010631View attachment 3010632
Ni vigumu kum brand mtu asiyeweza ku brandika.

Yani ni hivi, mchonga kinyago hata akiwa fundi mzuri vipi, usipompa mti mzuri wa kuchonga kinyago hawezi kuchonga kinyago kizuri.

Sasa kama rais hana interest ya kutoa hotuba kila mara, Mkurugenzi wa Habari Ikulu atamlazimishaje rais kutoa hotuba?
 
Back
Top Bottom