TANZIA Lala Salama Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro

TANZIA Lala Salama Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro

Hawajui Lolote Glady na KG wameanza Kitambo Wakati Huo Glady anasoma CbE, Hayo ya Mange Ni Uongo Tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ya mange siyajua, ila namfahamu Glady tangu yupo dodoma CBE mpaka akapewa mimba na Charles and at the same time charles akawa anaishi na Lisa pale mjengoni, baadae Glady akaja akahamia dar, Lisa akaolewa na mdogo wake Masha sijui hata ikiishia wapi🤣🤣 sema nilipoteana na Glady, namjua pia dada yake Charles anaitwa juliana
 
Hayo ya mange siyajua, ila namfahamu Glady tangu yupo dodoma CBE mpaka akapewa mimba na Charles and at the same time charles akawa anaishi na Lisa pale mjengoni, baadae Glady akaja akahamia dar, Lisa akaolewa na mdogo wake Masha sijui hata ikiishia wapi[emoji1787][emoji1787] sema nilipoteana na Glady, namjua pia dada yake Charles anaitwa juliana
Kumbe alikuwa kiwembe #Lisa wa #Bongomovie
 
Wakuu Mungu awe Nanyi Mda Wote.
.
Hii Taarifa Sio Muhimu Sana na Mtanisamehe Ambao Mtaona Au Mtajisikia Vibaya.
.
Napenda Kuwapa Taarifa Kwamba Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro Amefariki Dunia Jana Sa10 Jioni Kwa Saa za Afrika Mashariki Huko Kwao Musoma-Mara.
.
Kagere Alikuwa ni Msaidizi Wa Rais Jk Baada akawa Msaidizi(Mlinzi) Wa Makamu Wa Rais Wakati Ule Dr. Bilali.
.
Dr. Mwinyi alivyopitishwa na Ccm Kuwa Mgombea Urais Zanzibar Mkakaro Akawa Comadate 1 Wa Rais Mwinyi.
.
Uchaguzi Ulivyoisha aliendelea Kuwa Ocampo 1(Samahani Hizi Ni Lugha za Mbweni zaidi) Wa Rais Mwinyi Huko Zenji.
.
Hata Mwezi Haujaishi Kagere Akaumwa Sana Mguu na Kichwa ikabidi arudishwe Kwao Musoma akapata Tiba Akarudi Zenji Kazini.
.
Baadaye akaanza Kuumwa Kichwa Na Ule Mguu ukazimba Ukawa Mkubwa, So jana Amefariki Sa10 Jioni Hospital ya Mzena-Mikocheni.
.
Taratibu za Kuupeleka Mwili Kwao Musoma-Mara Zinaendelea.
.
R.I.P Comadate Mkakaro Kagere Mkakaro [emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2127041
Angestuka mapema apangiwe kituo kingine cha kazi, hivi tunakwama wapi wazenji wamempa Red
 
Suprise ya kumuacha
Sio tu kumuacha, enzi hizo Masha waziri wa mambo ya ndani, aliachwa na aliiitwa kupigwa mkwara juu ili akae mbali na Lisa maana nae alikua mbabe alikua mtu wa kumtishia kila mtu...yaani yeye kukutolea bastola kukwambia ntakuua ni simple especially ukimsogelea Lisa

Mkwara wake ulikua kama wa DeepPond ukimsogelea mama Jasmine
 
Wakuu Mungu awe Nanyi Muda Wote.
.
Hii Taarifa Sio Muhimu Sana na Mtanisamehe Ambao Mtaona Au Mtajisikia Vibaya.
.
Napenda Kuwapa Taarifa Kwamba Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro Amefariki Dunia Jana Sa10 Jioni Kwa Saa za Afrika Mashariki Huko Kwao Musoma-Mara.
.
Kagere Alikuwa ni Msaidizi Wa Rais Jk Baada akawa Msaidizi(Mlinzi) Wa Makamu Wa Rais Wakati Ule Dr. Bilali.
.
Dr. Mwinyi alivyopitishwa na Ccm Kuwa Mgombea Urais Zanzibar Mkakaro Akawa Comadate 1 Wa Rais Mwinyi.
.
Uchaguzi Ulivyoisha aliendelea Kuwa Ocampo 1(Samahani Hizi Ni Lugha za Mbweni zaidi) Wa Rais Mwinyi Huko Zenji.
.
Hata Mwezi Haujaishi Kagere Akaumwa Sana Mguu na Kichwa ikabidi arudishwe Kwao Musoma akapata Tiba Akarudi Zenji Kazini.
.
Baadaye akaanza Kuumwa Kichwa Na Ule Mguu ukazimba Ukawa Mkubwa, So jana Amefariki Sa10 Jioni Hospital ya Mzena-Mikocheni.
.
Taratibu za Kuupeleka Mwili Kwao Musoma-Mara Zinaendelea.
.
R.I.P Comadate Mkakaro Kagere Mkakaro😭

Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2127041
Kama huko Tccm makachero ndio dizaini ya wewe mtoa mada basi nchi hii ngumu sana.

Mara kafa mzena mara kafa kwao Mara? Lipi ni lipi ndugu kachero?
 
Back
Top Bottom