Jamaaani, nini kimemkuta Charles? Watoto wake bado wadogo
Labda kala vya watuJamaa ameteseka Sana almost mwezi Yuko Mzena anajiuguza Ila hawaoni Ugonjwa wwote
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes, same Charles ila baadae alikuja kumuoa Glady na akawa analea watotoHuyu si ndio Mange Kimambi alimuandika amezalisha huko Dodoma na ameshindwa kuhudumia mtoto
Hawajui Lolote Glady na KG wameanza Kitambo Wakati Huo Glady anasoma CbE, Hayo ya Mange Ni Uongo TuYes, same Charles ila baadae alikuja kumuoa Glady na akawa analea watoto
Hayo ya mange siyajua, ila namfahamu Glady tangu yupo dodoma CBE mpaka akapewa mimba na Charles and at the same time charles akawa anaishi na Lisa pale mjengoni, baadae Glady akaja akahamia dar, Lisa akaolewa na mdogo wake Masha sijui hata ikiishia wapi🤣🤣 sema nilipoteana na Glady, namjua pia dada yake Charles anaitwa julianaHawajui Lolote Glady na KG wameanza Kitambo Wakati Huo Glady anasoma CbE, Hayo ya Mange Ni Uongo Tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya nimeacha
Itakua mambo ya uganga yamemgeuka maana inasemekana alikua anakesha kwa wagangaLabda kala vya watu
Kumbe alikuwa kiwembe #Lisa wa #BongomovieHayo ya mange siyajua, ila namfahamu Glady tangu yupo dodoma CBE mpaka akapewa mimba na Charles and at the same time charles akawa anaishi na Lisa pale mjengoni, baadae Glady akaja akahamia dar, Lisa akaolewa na mdogo wake Masha sijui hata ikiishia wapi[emoji1787][emoji1787] sema nilipoteana na Glady, namjua pia dada yake Charles anaitwa juliana
Leteni picha yakePicha ya Kamanda MKAKARO tafadhali
Angestuka mapema apangiwe kituo kingine cha kazi, hivi tunakwama wapi wazenji wamempa RedWakuu Mungu awe Nanyi Mda Wote.
.
Hii Taarifa Sio Muhimu Sana na Mtanisamehe Ambao Mtaona Au Mtajisikia Vibaya.
.
Napenda Kuwapa Taarifa Kwamba Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro Amefariki Dunia Jana Sa10 Jioni Kwa Saa za Afrika Mashariki Huko Kwao Musoma-Mara.
.
Kagere Alikuwa ni Msaidizi Wa Rais Jk Baada akawa Msaidizi(Mlinzi) Wa Makamu Wa Rais Wakati Ule Dr. Bilali.
.
Dr. Mwinyi alivyopitishwa na Ccm Kuwa Mgombea Urais Zanzibar Mkakaro Akawa Comadate 1 Wa Rais Mwinyi.
.
Uchaguzi Ulivyoisha aliendelea Kuwa Ocampo 1(Samahani Hizi Ni Lugha za Mbweni zaidi) Wa Rais Mwinyi Huko Zenji.
.
Hata Mwezi Haujaishi Kagere Akaumwa Sana Mguu na Kichwa ikabidi arudishwe Kwao Musoma akapata Tiba Akarudi Zenji Kazini.
.
Baadaye akaanza Kuumwa Kichwa Na Ule Mguu ukazimba Ukawa Mkubwa, So jana Amefariki Sa10 Jioni Hospital ya Mzena-Mikocheni.
.
Taratibu za Kuupeleka Mwili Kwao Musoma-Mara Zinaendelea.
.
R.I.P Comadate Mkakaro Kagere Mkakaro [emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2127041
Hapana, sio Lisa wa bongo movie, ni dada fulani hivi kwa jina lingine wanamwita Vero, Charles alikua haambiwi kitu kwa Vero sema Vero alikuja kumfanyia suprise, alimpiga na kitu kizito kichwani😅😅Kumbe alikuwa kiwembe #Lisa wa #Bongomovie
Suprise ya kumuachaHapana, sio Lisa wa bongo movie, ni dada fulani hivi kwa jina lingine wanamwita Vero, Charles alikua haambiwi kitu kwa Vero sema Vero alikuja kumfanyia suprise
Sio tu kumuacha, enzi hizo Masha waziri wa mambo ya ndani, aliachwa na aliiitwa kupigwa mkwara juu ili akae mbali na Lisa maana nae alikua mbabe alikua mtu wa kumtishia kila mtu...yaani yeye kukutolea bastola kukwambia ntakuua ni simple especially ukimsogelea LisaSuprise ya kumuacha
Mguu unauma na kuvimba pia kichwa kinauma=could be, BloodclotsJamaa ameteseka Sana almost mwezi Yuko Mzena anajiuguza Ila hawaoni Ugonjwa wwote
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama huko Tccm makachero ndio dizaini ya wewe mtoa mada basi nchi hii ngumu sana.Wakuu Mungu awe Nanyi Muda Wote.
.
Hii Taarifa Sio Muhimu Sana na Mtanisamehe Ambao Mtaona Au Mtajisikia Vibaya.
.
Napenda Kuwapa Taarifa Kwamba Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro Amefariki Dunia Jana Sa10 Jioni Kwa Saa za Afrika Mashariki Huko Kwao Musoma-Mara.
.
Kagere Alikuwa ni Msaidizi Wa Rais Jk Baada akawa Msaidizi(Mlinzi) Wa Makamu Wa Rais Wakati Ule Dr. Bilali.
.
Dr. Mwinyi alivyopitishwa na Ccm Kuwa Mgombea Urais Zanzibar Mkakaro Akawa Comadate 1 Wa Rais Mwinyi.
.
Uchaguzi Ulivyoisha aliendelea Kuwa Ocampo 1(Samahani Hizi Ni Lugha za Mbweni zaidi) Wa Rais Mwinyi Huko Zenji.
.
Hata Mwezi Haujaishi Kagere Akaumwa Sana Mguu na Kichwa ikabidi arudishwe Kwao Musoma akapata Tiba Akarudi Zenji Kazini.
.
Baadaye akaanza Kuumwa Kichwa Na Ule Mguu ukazimba Ukawa Mkubwa, So jana Amefariki Sa10 Jioni Hospital ya Mzena-Mikocheni.
.
Taratibu za Kuupeleka Mwili Kwao Musoma-Mara Zinaendelea.
.
R.I.P Comadate Mkakaro Kagere Mkakaro😭
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2127041
Kwanini ni karma na sio kifo kama vifo vingine......??Karma mkuu..! Nakitafakari kifo kwa mapana yake. Chanzo na viasili vyake
Kila kifo kina risala yakeKwanini ni karma na sio kifo kama vifo vingine......??
Haswa mkuuKila kifo kina risala yake