bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,689
Kama ndivyo wacha afe tu..!Mkakaro huyu huyu aliekuwa pale jumba jeupe au? Mimi nilimfahamu kwa jina la Charles Mkakaro au baba Glady, bado mdogo nini kimemkuta?
Sema jamaa alikua anapenda kutishia watu maisha, zile za unanijua mimi alikua nazo sana