TANZIA Lala Salama Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro

TANZIA Lala Salama Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro

Wakuu Mungu awe Nanyi Muda Wote.
.
Hii Taarifa Sio Muhimu Sana na Mtanisamehe Ambao Mtaona Au Mtajisikia Vibaya.
.
Napenda Kuwapa Taarifa Kwamba Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro Amefariki Dunia Jana Sa10 Jioni Kwa Saa za Afrika Mashariki Hospital ya mzena.
.
Kagere Alikuwa ni Msaidizi Wa Rais Jk Baada akawa Msaidizi(Mlinzi) Wa Makamu Wa Rais Wakati Ule Dr. Bilali.
.
Dr. Mwinyi alivyopitishwa na Ccm Kuwa Mgombea Urais Zanzibar Mkakaro Akawa Comadate 1 Wa Rais Mwinyi.
.
Uchaguzi Ulivyoisha aliendelea Kuwa Ocampo 1(Samahani Hizi Ni Lugha za Mbweni zaidi) Wa Rais Mwinyi Huko Zenji.
.
Hata Mwezi Haujaishi Kagere Akaumwa Sana Mguu na Kichwa ikabidi arudishwe Kwao Musoma akapata Tiba Akarudi Zenji Kazini.
.
Baadaye akaanza Kuumwa Kichwa Na Ule Mguu ukazimba Ukawa Mkubwa, So jana Amefariki Sa10 Jioni Hospital ya Mzena-Mikocheni.
.
Taratibu za Kuupeleka Mwili Kwao Musoma-Mara Zinaendelea.
.
R.I.P Comadate Mkakaro Kagere Mkakaro[emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2127041

Mbowe sio gaidi
 
Angestuka mapema apangiwe kituo kingine cha kazi, hivi tunakwama wapi wazenji wamempa Red
Uchawi wa zanzibar ni hatari hawa kiboko yao ni kuwafungia safari ya congo unaenda kuzikwa siku tatu ukifukuliwa kutoka kaburini uchawi wao ni punje tu na yoyote atakayejitia kiherere anaenda kubusu miguu ya shetani kuzima.
 
Pia hakuna competent Medical doctors pale, pia uchawi umetamalaki sana ndani mule jumulisha majungu na fitina kama zote kama wewe ni mwepesi huchukui round wanafukia futi sita.
Daaaah umenichekesha Sana Aiseeeh mkuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaaah umenichekesha Sana Aiseeeh mkuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Take it, jamaa kazidiwa kete na wazenji si unafahamu walivyo na majungu kwa watu wa bara. Tena kwa position aliyokuwepo makombora yalikuwa yanatupwa usiku kucha huwenda alijichanganya akanasa kwa kombora moja ndio maana akafutika.
 
Uchawi wa zanzibar ni hatari hawa kiboko yao ni kuwafungia safari ya congo unaenda kuzikwa siku tatu ukifukuliwa kutoka kaburini uchawi wao ni punje tu na yoyote atakayejitia kiherere anaenda kubusu miguu ya shetani kuzima.
Huo ujasiri unao wa kuzikwa siku tatu?
 
Jamaa ameteseka Sana almost mwezi Yuko Mzena anajiuguza Ila hawaoni Ugonjwa wwote

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka hapo ukiona mtu anaumwa lakin akifanyiwa vipimo haoni ugonjwa, ujue karma ya kiafrika imempata. Tatizo mkiwa kwenye system mnaona mna mamlaka juu ya viumbe wenzenu kuwafanyia lolote ili kuwafurahisha watawala...
 
na pia anatakiwa afahamu kuna public security officers na pia kuna secrete security officer.
public security officers wanajulikana na jamii hawa mfano ni walinzi wa viongozi na watendaji wengine wa tiss kama ma DSOs ,RSOs na DG wa TISS ma secrete security officer hawa hawajulikani na hawatakiwi kujulikana

Unaelewa maana ya 'secrete' ?
 
Hata Mwezi Haujaishi Kagere Akaumwa Sana Mguu na Kichwa ikabidi arudishwe Kwao Musoma akapata Tiba Akarudi Zenji Kazini.
.
Baadaye akaanza Kuumwa Kichwa Na Ule Mguu ukazimba Ukawa Mkubwa, So jana Amefariki Sa10 Jioni Hospital ya Mzena-Mikocheni.
Anarudishwa Musoma badala ya kupelekwa kwa matibabu kwenye hospitali kubwa?
 
Back
Top Bottom