Laliga yaipongeza Yanga kuwa timu ya kwanza Kusini mwa Jangwa la Sahara kucheza mechi 49 bila kufungwa

Laliga yaipongeza Yanga kuwa timu ya kwanza Kusini mwa Jangwa la Sahara kucheza mechi 49 bila kufungwa

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Laliga wanawapongeza Yanga kuwa kucheza mechi 49 bila kupoteza.

Page ya Laliga yenye followers million 44 inawapongeza Yanga kwa kuweka record mpya Africa Mashariki na Kati, Africa na Dunia kwa ujumla! Hongera Yanga!
Screenshot_20221201-224953.png
 
Lakini hata hao Laliga nawenyewe watakuwa wamestuka, kivipi timu yenye point 1 na katika top 20 ya timu bora Africa haipo, halafu iwe na unbeaten?

Hao wanachojua ni kile walichoambiwa kuwa kuna unbeaten

Ila wangepata bahati ya kuangalia namna hizo unbeaten zilivyopatikana nadhani wangejua jinsi gani mpira unatukanwa huku Tanzania
 
Back
Top Bottom