Laliga yaipongeza Yanga kuwa timu ya kwanza Kusini mwa Jangwa la Sahara kucheza mechi 49 bila kufungwa

Lakini hata hao Laliga nawenyewe watakuwa wamestuka, kivipi timu yenye point 1 na katika top 20 ya timu bora Africa haipo, halafu iwe na unbeaten?

Hao wanachojua ni kile walichoambiwa kuwa kuna unbeaten

Ila wangepata bahati ya kuangalia namna hizo unbeaten zilivyopatikana nadhani wangejua jinsi gani mpira unatukanwa huku Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…