FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Ndivyo wanavyojiita, tena kwa kujisifu kabisa.Kondoo anaandika nyuzi JF?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo wanavyojiita, tena kwa kujisifu kabisa.Kondoo anaandika nyuzi JF?
Walijiita na wewe ukiwepo au ndio unafanya maandalizi ya kua bikra wa 72?Ndivyo wanavyojiita, tena kwa kujisifu kabisa.
Waache Porojo, ujenzi wa chuo cha VETA wilaya ya Ubungo pale Kibwegere umesimama, wamalizie.Nilitarajia wajengewe mazingira ya kuwaokoa kiuchumi na kuwapaisha kimaisha. Lami bila hela?
wewe jamaa, ulitaka upewe hizo hela ukanunue nyama ya mnofu ?Nilitarajia wajengewe mazingira ya kuwaokoa kiuchumi na kuwapaisha kimaisha. Lami bila hela?
Naona magamba mnararuanaNauli watatoa wapi? Au watatembea kwa miguu juu ya lami?
Hivi kumbe pesa za DMDP ni za SAMIA?Nilitarajia wajengewe mazingira ya kuwaokoa kiuchumi na kuwapaisha kimaisha. Lami bila hela?
Huu ni mradi wa World Bank na Sio CCM wala SamiaNilitarajia wajengewe mazingira ya kuwaokoa kiuchumi na kuwapaisha kimaisha. Lami bila hela?
let's ignore him an not reply!Nilitarajia wajengewe mazingira ya kuwaokoa kiuchumi na kuwapaisha kimaisha. Lami bila hela?
Mlimkaribisha akawazidi ujanja akawa Rais nyie mafala wazaliwa wa dar mnawaza utumbo wa kuku,vichwa vya kuku na dagaa mchanga!...Ndiyo, tuliozaliwa na kukulia Dar , sisi na wazee wetu.
Hivi hujuwi hata nyerere alikuwa wakuja, alikaribishwa na wenyeji wa Dar?
Wewe ni wa Dar au wakuja?
Mtu unakulaje miguu ya kuku!?....njaa tuMleta mada hawajui watu Dar Mihogo,utumbo wa kuku,miguu ya kuku,vichwa vya kuku ni vyakula.vinavyoliwa na wakazi wengi wa Dar
CHADEMA ilishindwa ubunge kinondoni sababu ya Godbless Lema kwenye hotuba alitukana watu mkutano wa Hadhara manzese akasema CCM imewatia umaskini ndio maana wanakula utumbo wa kuku,vichwa na miguu ya kuku vyakula visivyoliwa mikoa mingine.Wakamzomea na kura hawakumpa.
Mleta mada hivyo ni vyakula vya watu Dar miaka nenda rudi.Sasa hivi mihogo na wale dagaa wa nyumba ya Mungu kimeashasnza kuwa chskula kikubwa sana cha wachaga Moshi mjini kwa taarifa yako kimeshatambuliwa kama chakula rasmi mtu ananunua mihogo na dagaa mchana ndio lunch
Ni biashara kubwa sana .Mtu yeyote Moshi mjini aanzishe aone ina wachaga walaji wengi tu
Lema ni janga Chadema akili huwa hazimo alishatukana hata bodaboda Arusha akasema kazi wanayofanya ya bodab9da siyo kazi ni laana nadhani anavuta bangi
mkuu wewe tu ndio hauna helaNilitarajia wajengewe mazingira ya kuwaokoa kiuchumi na kuwapaisha kimaisha. Lami bila hela?
View attachment 3135425