Lami itawasaidia nini wakazi wa Dar?

Lami itawasaidia nini wakazi wa Dar?

Nilitarajia wajengewe mazingira ya kuwaokoa kiuchumi na kuwapaisha kimaisha. Lami bila hela?

View attachment 3135425
Kama hizi ndo akili za kichadema basi hii ni shida sana .

Kazi ya Serikali ikishakusanya Kodi ni kuhakikisha miundo mbinu inakaa sawa

Barabara za lami ni mhimu kulinguza uchafuzi wa mazingira maana gari zinapopita rough road zinatibua vumbi au kurusha matope.pia lami inspunguza muda wa safari na uharibifu wa magari. Kwako hayo yote siyo faida ya lami?🤔🤔🤔🤔


Miundo mbinu kama barabara ,ndege,SGr ,umeme,mwendo kasi ,shule Bora na walimu Bora, hospitali na vifaa tiba na watowa huduma Bora etc ni mhimu saana kumsaidia mwananchi aweze kufanya shughuli za kiuchumi Ili huyo mwananchi unayemtetea kwamba Hana uwezo wa kula zaidi ya mlo mmoja kwa simu aweze kupata kipato Cha kuweza kula hiyo Milo mitatu unayataka .kame serikali haiwezi kugawa hela kwa wanannchi eti waweza kula zaidi ya mlo mmoja.
 
Lami bila hela?

Tena siyo hela za Samia, ni hela za mkopo kutoka Benki ya Dunia WB.

Swali kuu kwanini wakaazi wa jiji la Dar es Salaam wasilipe kodi ya kutosha siyo ya kuzoa taka tu, bali hata za kutandaza lami, kukarabati shule za TAMISEMI, hospitali na ujenzi wa, miundo mbinu katika maeneo mapya ya jiji.

Lini miji yetu itajitegemea kwa kukusanya kodi zake za ndani ya majiji, manispaa na halmashauri badala ya kutegemea mikopo ya kimataifa na misaada ya watu wa Marekani, Korea ya Kusini na Japan?
 
Tena siyo hela za Samia, ni hela za mkopo kutoka Benki ya Dunia WB.

Swali kuu kwanini wakaazi wa jiji la Dar es Salaam wasilipe kodi ya kutosha siyo ya kuzoa taka tu, bali hata za kutandaza lami, kukarabati shule za TAMISEMI, hospitali na ujenzi wa, miundo mbinu katika maeneo mapya ya jiji.

Lini miji yetu itajitegemea kwa kukusanya kodi zake za ndani ya majiji, manispaa na halmashauri badala ya kutegemea mikopo ya kimataifa na misaada ya watu wa Marekani, Korea ya Kusini na Japan?
Tatizo lilipo Tanzania na nchi nyingine nyingi za ki-Afrika siyo suala la makusanyo ya kodi, Bali tatizo ni kwamba tawala karibia zote kabisa zilizopo kwenye nchi za Afrika hazina kabisa nidhamu nzuri ya matumizi ya fedha za Kodi za wananchi wao. Watawala ni wafujaji wazuri Sana wa pesa za Kodi kwa matumizi mabaya, wizi, ufisadi, n.k.
 
Mpishi yeyote wa Arusha na Moshi wa mitaani jifunzeni biashara za mihogo na dagaa na utumbo wa kuku Dar kajaribuni hiyo biashara Arusha na Moshi.kwenye wachaga wengi mtanishukuru naongea nina uhakika mtapiga pesa hadi basi ni biashara yenye mtaji mdogo na faida kubwa mno

Naongelea wale wa mitaani wauza Street food jifunzeni Dar nyie halafu kafanyeni kwenu biashara ina hela

Dar watu wanaishi kwa hiyo Mhogo mmoja ukikata vipande tu ushatoka kupata hela ya kuishi siku nzima hapo hujauza utumbo wa kuku mmoja
 
Ndiyo, tuliozaliwa na kukulia Dar , sisi na wazee wetu.

Hivi hujuwi hata nyerere alikuwa wakuja, alikaribishwa na wenyeji wa Dar?

Wewe ni wa Dar au wakuja?
Kwa hio hapo unabishana na kondoo au ngamia?
 
Nauli watatoa wapi? Au watatembea kwa miguu juu ya lami?
Kwa hiyo msongamano barabarani ndo unaowapatia wakazi wa Dar pesa?! Na kwamba msongamano ukiisha hawatakuwa na nauli? Kuna uhusiano gani wa kuboresha barabara za dar na wakazi kukosa nauli?! Hovyo sana wewe
 
Nilitarajia wajengewe mazingira ya kuwaokoa kiuchumi na kuwapaisha kimaisha. Lami bila hela?

View attachment 3135425
Lami inapandisha thamani maeneo mengi ya jiji la Dar. Huku mbezi beach baada ya kuwekwa lami hii njia inayotoka Maringo mpaka Kipita shoto cha kuelekea white sands viwanja vyote vilivyopo kando ya barabara vina shughuli za kibiashara zimeanzishwa.

Kabla ya 2003 kuwekwa lami hii barabara, huku kulikuwa ni porini tu.
 
Huyu mtu ana chuki na hatua za kimaendeleo kwenye mkoa wa Dar es salaam ambalo hivi karibuni litarudishiwa hadhi yake ya jiji.

Kifupi Dar ni mji uliosahaulika kwenye miundombinu, hasa ukiangalia umuhimu wake kiuchumi na idadi ya watu.

Hivyo mtoa mada anasumbuliwa na roho mbaya tu
 
Huyu mtu ana chuki na hatua za kimaendeleo kwenye mkoa wa Dar es salaam ambalo hivi karibuni litarudishiwa hadhi yake ya jiji.

Kifupi Dar ni mji uliosahaulika kwenye miundombinu, hasa ukiangalia umuhimu wake kiuchumi na idadi ya watu.

Hivyo mtoa mada anasumbuliwa na roho mbaya tu.

Unajua kadhia ya usafiri wanazopata wakazi wa Kitunda,Kivule Msongola?
 
Huyu mtu ana chuki na hatua za kimaendeleo kwenye mkoa wa Dar es salaam ambalo hivi karibuni litarudishiwa hadhi yake ya jiji.

Kifupi Dar ni mji uliosahaulika kwenye miundombinu, hasa ukiangalia umuhimu wake kiuchumi na idadi ya watu.

Hivyo mtoa mada anasumbuliwa na roho mbaya tu.

Unajua kadhia ya usafiri wanazopata wakazi wa Kitunda,Kivule Msongola?
 
Utumbo wa kuku natupa jalalani. Kama una dhiki lami ya nini? Kwa nini usipewe mtaji ili ujikomboe? Tril 1?
Sio kila mtu anahitaji mtaji wengine tumeshatoboa , tunataka lami ili tuendeshe michuma yetu na mijengo tuliyojenga ipendeze zaidi na kupanda thamani, na lami zikijengwa thamani ya nyumba zitapanda Mara kumi, kama hujajenga au huna hela sasa life itakuwa ngumu sana na Dar maskini hatakanyaga tena
 
Back
Top Bottom