Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unaona kuwa na hela bila lami ni sawa?🤣🤣Nilitarajia wajengewe mazingira ya kuwaokoa kiuchumi na kuwapaisha kimaisha. Lami bila hela?
View attachment 3135425
Wewe msukuma utakuja olewa Kwa kupenda dezo kwani magufuli alikuwa anawapa Hela kimya kimya?Nauli watatoa wapi? Au watatembea kwa miguu juu ya lami?
Moderator huu uzi nataka ufutwe. Mmebadilisha kichwa cha habari kwa utashi wenu.Nilitarajia wajengewe mazingira ya kuwaokoa kiuchumi na kuwapaisha kimaisha. Lami bila hela?
View attachment 3135425
Yaani mpaka leo hujui Dar ina wenyewe ambao ni wa asili ya Dar?Dar ina watu wake?
Lkn mmeacha vyote hivyo na kuja kutubanaKwa hiyo mkizaliwa Dar ndio asubuhi mle mihogo na chachandu, mchana dagaa mchele na ugali na miguu ya kuku? Sisi huku Igunga tunaamka na supu ya kuku, mchana ugali nyama ng'ombe na mlenda. Usiku ugali nyama ng'ombe na maziwa mgando.
We wakuja. Kama hujui piga kimya. Au muulize Nyerere aliyekuja Dar na kupokelewa na wazee wetu akiwa kavaa kaptula ndo wakamfundisha hata jinsi ya kuvaa surualiHakuna mtu wa Dar, wote ni wakuja. Labda kidogo Mzaramo. 😛
Labda waandishi ni ChoiceVariable na chiembeHilo gazeti ni la kuchambia.Tika aingie madarakani hatuoni Cha maana je itawezekana vipi kutandaza barabara December?Hizi ni ahadi hewa za kudanganyia wapiga kura
Nyererenyerere au Hayati Nyerere?
kwa akili yako lami haiwasaidii kitu?Nilitarajia wajengewe mazingira ya kuwaokoa kiuchumi na kuwapaisha kimaisha. Lami bila hela?
View attachment 3135425
Watu wa upinde lazima kwanza wawazie sehemu wanazofanyiwaHilo gazeti ni la kuchambia.Tika aingie madarakani hatuoni Cha maana je itawezekana vipi kutandaza barabara December?Hizi ni ahadi hewa za kudanganyia wapiga kura