Kuna watu wawili nawafahamu.
Mmoja ana Amarok na mwingine ana Navara.
Njombe Dar wanatumia masaa yasiyozidi 7. 700Km. Upo?
Nilishangaa sana Wkt wa hii Vita ya Ukraine Boris(PM wa UK by then) alinunua landcruiser za kutosha na kuzipeleka Ukraine kusaidia Vita,sijui kwanini hakununua Gari yoyote Ile kutoka Landrover(UK) na kuzipeleka field. [emoji1][emoji1].
USA nao wakapeleka LC 70 series huko Ukraine sijui kwanini hawakupeleka Ford,GM etc
HahahUnaweza tamani safari iendelee tu maana umeme wake sio wa kitoto af ndani kama uko beach unakula ubaridi tu mashimo wala rasta huzisikii πππ
ππ Australia iko Ulaya au haiko Ulaya?Land Cruiser ni gari za kuhimili shida na Mazingira magumu kama Africa, Vita n.k,
Siyo Starehe, hata kama starehe ipo but by nature zimundwa kuhimili hali ngumu.
Ila magari ya ULAYA na MAGHARIBI yameundwa kwa ajili ya STAREHE na Speed.
Kwa kuwa ULAYA hakuna Barabara kama za kwetu.
ππ acha tuendelee kukaza mafuvu mkuu.Huko hao wanaelewa somo vizuri kabisa, zinaposhupazwa shingo ni huku Magwepande na Kibaigwa.
Siyo safari ya usiku, ni ya mchana kweupeee...Bado ni masaaa mengi kwa magari yenye perfomance,
Hayo masaa saba ni ya akina PREMIO na wengine.
Ameiita Luxury ila tukianza kuifananisha na BMW 760Li au Mercedes S600 au Audi A8L ataanza kuona tunaionea....Nani alirate Mark X kama luxury car...Mwijaku au???
Ila humu JF Kuna saundi sana mkuu,Kuna jamaa mmoja humu JF alisema yeye hua akipambana Sana anatumia 6 hrs kwa safari ya Dar-Arusha,akatoka Mjerumani mweusi wa kutoka huko Hamburger ya Bariadi akasema huo Ni mzaha, mke wangu mwenyewe Dar-Arusha anatumia 5.30 hrs na Mimi hapa natumia 4hrs Dar-Arusha.Siyo safari ya usiku, ni ya mchana kweupeee...
Barabara zenyewe za kutumia masaa 4 Toka DAR -ARUSHA ziko wapi hapa TANZANIA?Ila humu Kuna saundi mkuu,Kuna jamaa mmoja humu JF alisema yeye hua akipambana Sana anatumia 6 hrs kwa safari ya Dar-Arusha,akatoka Mjerumani mweusi wa kutoka huko Hamburger ya Bariadi akasema huo Ni mzaha, mke wangu mwenyewe Dar-Arusha anatumia 5.30 hrs na Mimi hapa natumia 4hrs Dar-Arusha.
Aisee yule Mjerumani mweusi tulimuweka Kati atuwekee hesabu za 4 hours na hizi barabara zetu,alikimbia ule Uzi mazima ππ
Nilitamani sana kumuombea msamaha yule ndugu..Ila humu JF Kuna saundi sana mkuu,Kuna jamaa mmoja humu JF alisema yeye hua akipambana Sana anatumia 6 hrs kwa safari ya Dar-Arusha,akatoka Mjerumani mweusi wa kutoka huko Hamburger ya Bariadi akasema huo Ni mzaha, mke wangu mwenyewe Dar-Arusha anatumia 5.30 hrs na Mimi hapa natumia 4hrs Dar-Arusha.
Aisee yule Mjerumani mweusi tulimuweka Kati atuwekee hesabu za 4 hours na hizi barabara zetu,alikimbia ule Uzi mazima [emoji1][emoji1]
Kumbe na kuisifia kote mwanaume ni lifti ulipewa, nikaju labda ww ni mmiliki kumbe blah blah nyingi zaa lift..Land cruiser vx v8 hii gari isikie tu!
Hii ni ndege ya chini!
Ukionja hii gari unaweza ishauri Serikali kuwe na leseni maalum kwa madereva wa hizi gari maana ni ndege ya chini wallah!
Nahisi ndiyo maana ilibatizwa Ushangingi maana ni kweli VXV8 ni shangingi la njia siyo uwongo!
Na ukitaka kuielewa vizuri panda kwenda safari ndefu ndiyo utajua TOYOTA HAPA ALITULIZA KICHWA.
Uraibu wa hii gari ni viongozi wachache sana wakiafrika wanaweza kukubali kuushinda ili waachane kununua magari Haya ya gharama kubwa!
Zote zipo fiti ila hii land cruiser vx v8 2022 ni kiboko yao!
Ni gari bomba sana, very comfort, stable, luxury, High speed tolerance, sensor of crush, music system, massaging seat, sleeping sensor and much more!
Napata ugumu kukuelewesheni hii ya 2022 ilivyo bora na bomba ila kama kuna mtu yuko karibu na Mwigulu Nchemba anayo moja bado mbichi kabisa unaweza kuitizama ni mashine!
Land cruiser vx v8 inasifa moja kuu! INAOMBA NJIA MUDA WOTE!
Tunawalaumu bure viongozi wanavyopita pyuupyuupyuu huko barabarani siyo wao! Bali ni land cruiser vx v8 ndivyo inataka mambo hayo!
Naomba Mungu anijalie na mimi siku nimiliki yangu!
View attachment 2373415
Hiyo gari kali sana 4Γ4 vumbi tuuu unawaachia wajinga huko nyumaChukua vitu vya kiume kama hii chuma hapaView attachment 2373433
ππππ tumeshamsamehe mkuu.Nilitamani sana kumuombea msamaha yule ndugu..
πππ Kuifikisha hio speed utaifikisha Ila kui-maintain jasho litakutoka.Barabara zenyewe za kutumia masaa 4 Toka DAR -ARUSHA ziko wapi hapa TANZANIA?
Watu wanaongea Tu kuhusu speed Ila ukianza safari ndefu ndipo utajua jinsi barabara zetu zilivyo finyu, angalau kidogo gari za serikali ndiyo wanaweza kutembeza Kwa speed kubwa Ila haya ya kwetu binafsi ni ngumu Sana kufikisha speed 180
Hii ni V8 au V6?Land cruiser vx v8 hii gari isikie tu!
Hii ni ndege ya chini!
Ukionja hii gari unaweza ishauri Serikali kuwe na leseni maalum kwa madereva wa hizi gari maana ni ndege ya chini wallah!
Nahisi ndiyo maana ilibatizwa Ushangingi maana ni kweli VXV8 ni shangingi la njia siyo uwongo!
Na ukitaka kuielewa vizuri panda kwenda safari ndefu ndiyo utajua TOYOTA HAPA ALITULIZA KICHWA.
Uraibu wa hii gari ni viongozi wachache sana wakiafrika wanaweza kukubali kuushinda ili waachane kununua magari Haya ya gharama kubwa!
Zote zipo fiti ila hii land cruiser vx v8 2022 ni kiboko yao!
Ni gari bomba sana, very comfort, stable, luxury, High speed tolerance, sensor of crush, music system, massaging seat, sleeping sensor and much more!
Napata ugumu kukuelewesheni hii ya 2022 ilivyo bora na bomba ila kama kuna mtu yuko karibu na Mwigulu Nchemba anayo moja bado mbichi kabisa unaweza kuitizama ni mashine!
Land cruiser vx v8 inasifa moja kuu! INAOMBA NJIA MUDA WOTE!
Tunawalaumu bure viongozi wanavyopita pyuupyuupyuu huko barabarani siyo wao! Bali ni land cruiser vx v8 ndivyo inataka mambo hayo!
Naomba Mungu anijalie na mimi siku nimiliki yangu!
View attachment 2373415
[emoji1][emoji1] Australia iko Ulaya au haiko Ulaya?
Ila humu JF Kuna saundi sana mkuu,Kuna jamaa mmoja humu JF alisema yeye hua akipambana Sana anatumia 6 hrs kwa safari ya Dar-Arusha,akatoka Mjerumani mweusi wa kutoka huko Hamburger ya Bariadi akasema huo Ni mzaha, mke wangu mwenyewe Dar-Arusha anatumia 5.30 hrs na Mimi hapa natumia 4hrs Dar-Arusha.
Aisee yule Mjerumani mweusi tulimuweka Kati atuwekee hesabu za 4 hours na hizi barabara zetu,alikimbia ule Uzi mazima [emoji1][emoji1]
Barabara zenyewe za kutumia masaa 4 Toka DAR -ARUSHA ziko wapi hapa TANZANIA?
Watu wanaongea Tu kuhusu speed Ila ukianza safari ndefu ndipo utajua jinsi barabara zetu zilivyo finyu, angalau kidogo gari za serikali ndiyo wanaweza kutembeza Kwa speed kubwa Ila haya ya kwetu binafsi ni ngumu Sana kufikisha speed 180