Land cruiser VX V8 ni ndege ya chini aisee! Ndiyo maana viongozi hawataki kuyaachia

Land cruiser VX V8 ni ndege ya chini aisee! Ndiyo maana viongozi hawataki kuyaachia

Nilishangaa sana Wkt wa hii Vita ya Ukraine Boris(PM wa UK by then) alinunua landcruiser za kutosha na kuzipeleka Ukraine kusaidia Vita,sijui kwanini hakununua Gari yoyote Ile kutoka Landrover(UK) na kuzipeleka field. [emoji1][emoji1].

USA nao wakapeleka LC 70 series huko Ukraine sijui kwanini hawakupeleka Ford,GM etc

Land Cruiser ni gari za kuhimili shida na Mazingira magumu kama Africa, Vita n.k,
Siyo Starehe, hata kama starehe ipo but by nature zimundwa kuhimili hali ngumu.
Ila magari ya ULAYA na MAGHARIBI yameundwa kwa ajili ya STAREHE na Speed.
Kwa kuwa ULAYA hakuna Barabara kama za kwetu.
 
Land Cruiser ni gari za kuhimili shida na Mazingira magumu kama Africa, Vita n.k,
Siyo Starehe, hata kama starehe ipo but by nature zimundwa kuhimili hali ngumu.
Ila magari ya ULAYA na MAGHARIBI yameundwa kwa ajili ya STAREHE na Speed.
Kwa kuwa ULAYA hakuna Barabara kama za kwetu.
😄😄 Australia iko Ulaya au haiko Ulaya?
 
Siyo safari ya usiku, ni ya mchana kweupeee...
Ila humu JF Kuna saundi sana mkuu,Kuna jamaa mmoja humu JF alisema yeye hua akipambana Sana anatumia 6 hrs kwa safari ya Dar-Arusha,akatoka Mjerumani mweusi wa kutoka huko Hamburger ya Bariadi akasema huo Ni mzaha, mke wangu mwenyewe Dar-Arusha anatumia 5.30 hrs na Mimi hapa natumia 4hrs Dar-Arusha.

Aisee yule Mjerumani mweusi tulimuweka Kati atuwekee hesabu za 4 hours na hizi barabara zetu,alikimbia ule Uzi mazima 😄😄
 
Ila humu Kuna saundi mkuu,Kuna jamaa mmoja humu JF alisema yeye hua akipambana Sana anatumia 6 hrs kwa safari ya Dar-Arusha,akatoka Mjerumani mweusi wa kutoka huko Hamburger ya Bariadi akasema huo Ni mzaha, mke wangu mwenyewe Dar-Arusha anatumia 5.30 hrs na Mimi hapa natumia 4hrs Dar-Arusha.

Aisee yule Mjerumani mweusi tulimuweka Kati atuwekee hesabu za 4 hours na hizi barabara zetu,alikimbia ule Uzi mazima 😄😄
Barabara zenyewe za kutumia masaa 4 Toka DAR -ARUSHA ziko wapi hapa TANZANIA?
Watu wanaongea Tu kuhusu speed Ila ukianza safari ndefu ndipo utajua jinsi barabara zetu zilivyo finyu, angalau kidogo gari za serikali ndiyo wanaweza kutembeza Kwa speed kubwa Ila haya ya kwetu binafsi ni ngumu Sana kufikisha speed 180
 
Ila humu JF Kuna saundi sana mkuu,Kuna jamaa mmoja humu JF alisema yeye hua akipambana Sana anatumia 6 hrs kwa safari ya Dar-Arusha,akatoka Mjerumani mweusi wa kutoka huko Hamburger ya Bariadi akasema huo Ni mzaha, mke wangu mwenyewe Dar-Arusha anatumia 5.30 hrs na Mimi hapa natumia 4hrs Dar-Arusha.

Aisee yule Mjerumani mweusi tulimuweka Kati atuwekee hesabu za 4 hours na hizi barabara zetu,alikimbia ule Uzi mazima [emoji1][emoji1]
Nilitamani sana kumuombea msamaha yule ndugu..
 
Land cruiser vx v8 hii gari isikie tu!

Hii ni ndege ya chini!
Ukionja hii gari unaweza ishauri Serikali kuwe na leseni maalum kwa madereva wa hizi gari maana ni ndege ya chini wallah!

Nahisi ndiyo maana ilibatizwa Ushangingi maana ni kweli VXV8 ni shangingi la njia siyo uwongo!

Na ukitaka kuielewa vizuri panda kwenda safari ndefu ndiyo utajua TOYOTA HAPA ALITULIZA KICHWA.

Uraibu wa hii gari ni viongozi wachache sana wakiafrika wanaweza kukubali kuushinda ili waachane kununua magari Haya ya gharama kubwa!

Zote zipo fiti ila hii land cruiser vx v8 2022 ni kiboko yao!

Ni gari bomba sana, very comfort, stable, luxury, High speed tolerance, sensor of crush, music system, massaging seat, sleeping sensor and much more!

Napata ugumu kukuelewesheni hii ya 2022 ilivyo bora na bomba ila kama kuna mtu yuko karibu na Mwigulu Nchemba anayo moja bado mbichi kabisa unaweza kuitizama ni mashine!

Land cruiser vx v8 inasifa moja kuu! INAOMBA NJIA MUDA WOTE!

Tunawalaumu bure viongozi wanavyopita pyuupyuupyuu huko barabarani siyo wao! Bali ni land cruiser vx v8 ndivyo inataka mambo hayo!

Naomba Mungu anijalie na mimi siku nimiliki yangu!

View attachment 2373415
Kumbe na kuisifia kote mwanaume ni lifti ulipewa, nikaju labda ww ni mmiliki kumbe blah blah nyingi zaa lift..

Tafuta hela mungu hakupi gari kazi ndio inakupa gari.....
 
Barabara zenyewe za kutumia masaa 4 Toka DAR -ARUSHA ziko wapi hapa TANZANIA?
Watu wanaongea Tu kuhusu speed Ila ukianza safari ndefu ndipo utajua jinsi barabara zetu zilivyo finyu, angalau kidogo gari za serikali ndiyo wanaweza kutembeza Kwa speed kubwa Ila haya ya kwetu binafsi ni ngumu Sana kufikisha speed 180
😄😄😄 Kuifikisha hio speed utaifikisha Ila kui-maintain jasho litakutoka.
 
Land cruiser vx v8 hii gari isikie tu!

Hii ni ndege ya chini!
Ukionja hii gari unaweza ishauri Serikali kuwe na leseni maalum kwa madereva wa hizi gari maana ni ndege ya chini wallah!

Nahisi ndiyo maana ilibatizwa Ushangingi maana ni kweli VXV8 ni shangingi la njia siyo uwongo!

Na ukitaka kuielewa vizuri panda kwenda safari ndefu ndiyo utajua TOYOTA HAPA ALITULIZA KICHWA.

Uraibu wa hii gari ni viongozi wachache sana wakiafrika wanaweza kukubali kuushinda ili waachane kununua magari Haya ya gharama kubwa!

Zote zipo fiti ila hii land cruiser vx v8 2022 ni kiboko yao!

Ni gari bomba sana, very comfort, stable, luxury, High speed tolerance, sensor of crush, music system, massaging seat, sleeping sensor and much more!

Napata ugumu kukuelewesheni hii ya 2022 ilivyo bora na bomba ila kama kuna mtu yuko karibu na Mwigulu Nchemba anayo moja bado mbichi kabisa unaweza kuitizama ni mashine!

Land cruiser vx v8 inasifa moja kuu! INAOMBA NJIA MUDA WOTE!

Tunawalaumu bure viongozi wanavyopita pyuupyuupyuu huko barabarani siyo wao! Bali ni land cruiser vx v8 ndivyo inataka mambo hayo!

Naomba Mungu anijalie na mimi siku nimiliki yangu!

View attachment 2373415
Hii ni V8 au V6?
 
Ila humu JF Kuna saundi sana mkuu,Kuna jamaa mmoja humu JF alisema yeye hua akipambana Sana anatumia 6 hrs kwa safari ya Dar-Arusha,akatoka Mjerumani mweusi wa kutoka huko Hamburger ya Bariadi akasema huo Ni mzaha, mke wangu mwenyewe Dar-Arusha anatumia 5.30 hrs na Mimi hapa natumia 4hrs Dar-Arusha.

Aisee yule Mjerumani mweusi tulimuweka Kati atuwekee hesabu za 4 hours na hizi barabara zetu,alikimbia ule Uzi mazima [emoji1][emoji1]

6 hrs Dsm arusha nimeshaipiga sana,
ilaninatakiwa uwe na Confidence ya kusimamishwa na Nguo nyeupe.
 
Barabara zenyewe za kutumia masaa 4 Toka DAR -ARUSHA ziko wapi hapa TANZANIA?
Watu wanaongea Tu kuhusu speed Ila ukianza safari ndefu ndipo utajua jinsi barabara zetu zilivyo finyu, angalau kidogo gari za serikali ndiyo wanaweza kutembeza Kwa speed kubwa Ila haya ya kwetu binafsi ni ngumu Sana kufikisha speed 180

180 zipo chache kama kipande cha SAME
ila 120 unatembea kaka
 
Back
Top Bottom