D___________Loy
Senior Member
- Jan 21, 2020
- 168
- 146
Kuna Wizara juzi imezindua Miongozo ya Elimu kwa wanafunzi wenye Mahitaji Maalum. Mpaka sasa hakuna update namna ya utekelezaji katika shule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mpaka Leo una kero Gani, mbona zote tumeshamaliza. Sema keto yako tuje usigeneralise kero zako ukazifanya ziwe za wote. Kama kero yake hujala toka asubuhi lakini wengine wanakula kila wakijisikia je?Hiyo lugha itadhihirika zaidi nyakati za uchaguzi 2025
Rais anao mawaziri wengi, ila kati ya hao, wengi hawamtaki ila kwa sababu ya desturina mila zetu za kiafrika, mtu hutakiwi kumpinga mkubwa wako hadharani, unachoruhusiwa ubakie na chuki zako moyoni
Mh Rais, anasukuma gurudumu lenye matopè mengi, na hivyo kufanya safari yake kusukuma grudumu la maendeleo kuwa ni kazi ngumu sana!
Huwezi kuwa na wizara karibu zote hazitatui kero za wananchi kama si mgomo ni nini?
Miongoni mwa wizara zote, kama mtanzania, ni wizara ipi angalau inafanya vema?
Wizara zisipofanya vema, tafsiri yake ni nini kama si kutoambatana na kila anaagiza mkuu wao?
2024 inapoanza, namshauri mama, iwapo angependa kubaki kiongozi wa kukumbukwa, afanyie marekebisho uongozi wake, ima aanze kufwatilia wizara moja hadi nyingine ili kuhakikisha viongozi wa mawizara wanamsaidia kweli
2024, ni heri akubali kulaumiwa na wachache ili wengi wapone,
Yeye Boss anajali hilo?Hiyo lugha itadhihirika zaidi nyakati za uchaguzi 2025
Rais anao mawaziri wengi, ila kati ya hao, wengi hawamtaki ila kwa sababu ya desturina mila zetu za kiafrika, mtu hutakiwi kumpinga mkubwa wako hadharani, unachoruhusiwa ubakie na chuki zako moyoni
Mh Rais, anasukuma gurudumu lenye matopè mengi, na hivyo kufanya safari yake kusukuma grudumu la maendeleo kuwa ni kazi ngumu sana!
Huwezi kuwa na wizara karibu zote hazitatui kero za wananchi kama si mgomo ni nini?
Miongoni mwa wizara zote, kama mtanzania, ni wizara ipi angalau inafanya vema?
Wizara zisipofanya vema, tafsiri yake ni nini kama si kutoambatana na kila anaagiza mkuu wao?
2024 inapoanza, namshauri mama, iwapo angependa kubaki kiongozi wa kukumbukwa, afanyie marekebisho uongozi wake, ima aanze kufwatilia wizara moja hadi nyingine ili kuhakikisha viongozi wa mawizara wanamsaidia kweli
2024, ni heri akubali kulaumiwa na wachache ili wengi wapone,
Shule za kata we unadhani kuna Elimu gani hukoo !!???Ni "body language" siyo kama ulivyoandika.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kusomea ujinga tu.Shule za kata we unadhani kuna Elimu gani hukoo !!???
Mkuu kuna kero kuu na sugu tatu - 3, ambazo ni maradhi, ujinga na umasikini.Hiyo lugha itadhihirika zaidi nyakati za uchaguzi 2025
Rais anao mawaziri wengi, ila kati ya hao, wengi hawamtaki ila kwa sababu ya desturina mila zetu za kiafrika, mtu hutakiwi kumpinga mkubwa wako hadharani, unachoruhusiwa ubakie na chuki zako moyoni
Mh Rais, anasukuma gurudumu lenye matopè mengi, na hivyo kufanya safari yake kusukuma grudumu la maendeleo kuwa ni kazi ngumu sana!
Huwezi kuwa na wizara karibu zote hazitatui kero za wananchi kama si mgomo ni nini?
Miongoni mwa wizara zote, kama mtanzania, ni wizara ipi angalau inafanya vema?
Wizara zisipofanya vema, tafsiri yake ni nini kama si kutoambatana na kila anaagiza mkuu wao?
2024 inapoanza, namshauri mama, iwapo angependa kubaki kiongozi wa kukumbukwa, afanyie marekebisho uongozi wake, ima aanze kufwatilia wizara moja hadi nyingine ili kuhakikisha viongozi wa mawizara wanamsaidia kweli
2024, ni heri akubali kulaumiwa na wachache ili wengi wapone,