Poleni wandugu kwanza.
Ni kwamba kuna kazi nafanya na laptop yangu ya siku nyingi Acer Quad Core 8gb ram.
Sasa shughuli nyingine masaa 18 inachapa mzigo nazima nusu saa. Halafu inapiga masaa 6 huu mchezo wiki nzima nimekuwa nafanya usiku na mchana sasa nimeanza kuogopa nitaikuta imezima moja kwa moja.
Ingawa chini yake nimeunganisha kwa usb "kipozeo" notebook cooler" kina fan lakini nimeona niongee na watalaam mnipe ujuzi.
Ni kwamba kuna kazi nafanya na laptop yangu ya siku nyingi Acer Quad Core 8gb ram.
Sasa shughuli nyingine masaa 18 inachapa mzigo nazima nusu saa. Halafu inapiga masaa 6 huu mchezo wiki nzima nimekuwa nafanya usiku na mchana sasa nimeanza kuogopa nitaikuta imezima moja kwa moja.
Ingawa chini yake nimeunganisha kwa usb "kipozeo" notebook cooler" kina fan lakini nimeona niongee na watalaam mnipe ujuzi.