Lary Fink: Mtu mwenye nguvu zaidi Duniani kwenye ulimwengu wa fedha

Lary Fink: Mtu mwenye nguvu zaidi Duniani kwenye ulimwengu wa fedha

professorv75

New Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
3
Reaction score
3
Kampuni yenye nguvu zaidi Duniani na kwa bahati mbaya unaweza usiwe unaijua, kwa jina ni BlackRock.

Hadi sasa Kampuni hii ina manage Mali zenye thamani ya Dola Trilioni nane( USD 8 Trillion) (hii ni kwa makadirio sawa na pesa za kitanzaninia Trilioni 18,400/-) moja kwa moja(Directly) na pia ina manage mali zenye thamani isiyppungua Dola Trilioni 25 (USD 25 Trillion)(hii ni kwa makadirio sawa na pesa za kitanzania Trilioni 57,500/-)

Kiufupi Lary Fink kupitia kampuni aliyoianzisha BLACKROCK akiwa na mwenzake Steve Shwarzman (Ingawa yeye kwa sasa sio tena sehemu ya kampuni hiyo baada ya kuuza umiliki wake) ina manage mali nyingi zaid ya GDP za nchi zote duniani kasoro Marekani ya China.

Lary Fink kama Mwenyekiti na Mkurugenzi mtendaji wa BLACKROCK, sidhani kama nitakosea kusema huyu jamaa ameshikilia uchumi wa Dunia mikononi mwake kwa kuwa BLACKROCK ni kati ya wanahisa wakubwa katika makampuni karibia yote makubwa duniani, baadhi yao ikiwemo hii inayojulikana zaidi (Apple, Meta, Amazon..etc)na mengine mengi.
 
Kwa nguvu aliyonayo kwenye uchumi wa dunia, Hao sio kitu.

“Larry Fink is an American financial executive who has a net worth of $1 billion”


“Fink is ranked number 28 on the Forbes list of The World's Most Powerful People”
 
Kwa nguvu aliyonayo kwenye uchumi wa dunia, Hao sio kitu.
Inaelekea hujui kwamba BlackRock ni kampuni ya uwekezaji. Maana yake ni kwamba watu wameweka hela zao humo ili ziwekezwe kwenye hisa za kampuni mbalimbali na masoko ya fedha, hizo fedha sio za BlackRock wala sio za huyo CEO. Ni kama vile UTT hapa kwetu. Wao kazi yao ni kuziwekeza na wanalipwa ada kwa hiyo kazi. Utajiri wa Elon Musk wengine ni wa kwao (personal). Ndio maana ukitafuta orodha ya mabilionea 10 wa juu hutamuona huyo CEO wa BlackRock. Yeye personally hana hiyo hela.
 
“Larry Fink is an American financial executive who has a net worth of $1 billion”


“Fink is ranked number 28 on the Forbes list of The World's Most Powerful People”
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mchawi Forbes, mbona hayumo kwenye list ya billionaires. [emoji16]
Kwa sasa duniani Elon musk ndie tajiri mkubwa kawaacha wenzake mbali sana.

Huyo hapo juu ni km CEO wa kampuni za uwekezaji as a group of companies,ila Musk ni tajiri personal
 
niliwahi kusoma sehemu, matajiri halisi, wakubwa duniani na wenye nguvu zaidi ya kifedha huwezi kukuta majina yao forbes.

kuna familia zina ukwasi wa kutisha, ila huwezi kuona majina yao forbes.

Umenena Vyema.

Mfano mzuri hata hapa kwetu bongo. Acha Tu Kuna Raia Wana Ukwasi Wa Kutisha. Hawataki Kabisa Kujulikana Wala Kuongelewa.
 
Hela haijifichi
Kwa masikini Ila kwa waliozaliwa hela wakaziZoea wakiwa wadogo,Ile Hali iko subconscious hela Ni ishu ya kawaida Kama kupumua tu huwezi jua Mana they do it or they are in "just owning money mode zone" They own it flawlessly and effortlessly. They shouldn't second guess to own money. They are in owning mode no need to work around to announce to world they own it sir. They are just who they are
 
Kwa masikini Ila kwa waliozaliwa hela wakaziZoea wakiwa wadogo,Ile Hali iko subconscious hela Ni ishu ya kawaida Kama kupumua tu huwezi jua Mana they do it or they are in "just owning money mode zone" They own it flawlessly and effortlessly. They shouldn't second guess to own money. They are in owning mode no need to work around to announce to world they own it sir. They are just who they are

That brings my point home kwamba hela haijifichi. Either umezaliwa nazo au ni self-made inaonekana tu. Yusuph Bakhressa mtoto wa Bakhressa hajitangazi ila mzigo wake unaonekana.
 
Watu walishtuka kuona marehemu Ali Mufuruki anabid kuinunua Liverpool FC...

Mmeanza kuleta story za vijiweni humu, ni lini Mufuruki aliweka bid ya kununua Liverpool? Any reliable source au source yako ni "trust me bro"
 
Back
Top Bottom